Uchawi upo, asili yake ni uharibifu, hata mafanikio yatokanayo na ushirikina yana makandokando yasio ya kawaida

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
3,715
11,379
Nitashangaa hadi leo kama bado tutaendelea kufanya debate kuhusu uwepo wa uchawi.

Wengi tuna downplay uwepo wa uchawi sio kuwa tuna uhakika kuwa haupo ila basi tu tujioneshe wenye status ya usasa na umjini mjini ila ukweli ni kuwa yajatukuta ya kutukuta.

Uchawi sio stori za kufikirika, uchawi ni ustadi ila ni ustadi usio kuwa na faida chanya at the longterm.

Una faida ambazo utashibisha malengo yako yenye asili ya ubaya,

Una faida ambayo utashibisha hamu yako ila katika gharama ya ubaya.

Uchawi ni rafiki ya hila, wivu, fitna, kisasi, uvivu, tamaa, hofu na uchoyo.

Ndio maana hadi leo uchawi huu haujawahi kumfanya mwafrika kuwa na generational wealth kwa maana asili ya uchawi sio kuboresha bali ni kubomoa na hata kama ukiboresha unakuja na gharama ya ubomoaji.

Uchawi ni code ya kiroho, ndio maana ukifanyiwa uchawi, unaweza ukajinasua kwa ku-crack hio code kiroho.

Soma Pia: Nguvu na maajabu ya uchawi
 
If witchcraft and magic really existed, Then people would have weaponized them long time ago.

We would have magic missiles, Enchanted bullets and invisible Rockets.
Ndio maana nikasema asili yake ni uharibifu. Soma pliz soma beforre conclufing anything
 
Hizo nchi zinazosema hakuna uchawi ndio wameanzisha na vyuo vikuu vya uchawi!! Wazi kabisa, wanatufanya sisi vipofu ili waturoge vizuri, no way

Kuna jamaa humu alidai anasoma masters ya uchawi chuo flani canada, akakitaja, nika google, nikakutana na lecture 37, sikuambulia kitu, Ila sauti ya huyo lecture sio ya homo sapiens, mwili wote unasisimka
 
Hizo nchi zinazosema hakuna uchawi ndio wameanzisha na vyuo vikuu vya uchawi!! Wazi kabisa, wanatufanya sisi vipofu ili waturoge vizuri, no way

Kuna jamaa humu alidai anasoma masters ya uchawi chuo flani canada, akakitaja, nika google, nikakutana na lecture 37, sikuambulia kitu, Ila sauti ya huyo lecture sio ya homo sapiens, mwili wote unasisimka
Hahahh
 
Hizo nchi zinazosema hakuna uchawi ndio wameanzisha na vyuo vikuu vya uchawi!! Wazi kabisa, wanatufanya sisi vipofu ili waturoge vizuri, no way

Kuna jamaa humu alidai anasoma masters ya uchawi chuo flani canada, akakitaja, nika google, nikakutana na lecture 37, sikuambulia kitu, Ila sauti ya huyo lecture sio ya homo sapiens, mwili wote unasisimka
Viko nchi gani hivyo vyuo vikuu vya uchawi? Vinaitwaje?

Unaweza kutuwekea hapa tovuti zake tuone?
 
Laiti kama ungejua chanzo chote cha maendeleo ni "uchawi ". Kila mahali penyi maendeleo hasa ya haraka pana uchawi. Hata mlokole aliyefanikiwa pana uchawi. Wakati wa vita (sitaji) kuna waliotumia uchawi na risasi hazikuwapata. Ndugu zanguni, uchawi upo. Kuna mkandarazi tena alifaulu sana, kila akijenga nyufa zinatokea, alipotumia uchawi mambo yakawa sawa.
 
Laiti kama ungejua chanzo chote cha maendeleo ni "uchawi ". Kila mahali penyi maendeleo hasa ya haraka pana uchawi. Hata mlokole aliyefanikiwa pana uchawi. Wakati wa vita (sitaji) kuna waliotumia uchawi na risasi hazikuwapata. Ndugu zanguni, uchawi upo. Kuna mkandarazi tena alifaulu sana, kila akijenga nyufa zinatokea, alipotumia uchawi mambo yakawa sawa.
Kama cha so chote cha maendeleo ni uchawi kwa nini bara la Afrika ndo liko nyuma zaidi kimaendeleo?
 
Back
Top Bottom