Uchambuzi: mechi ya Yanga vs singida BS ni Moja ya mechi Bora kuliko hata kariakoo derby

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
19,367
29,211
Salaam wakuu

Baada ya kukosa kuangalia mechi ya Jana sababu Nilikuwa kwenye ndege kutoka Pretoria kuja bongo Leo nimeangalia marudio na kuona yafuatayo

Kuhusu kuwapa nafasi wazawa ni jambo la kiufundi zaidi ...Kwani wazawa wanajua pressure ya mchezo kuliko wageni

_ Mechi ilikuwa very watanzania wameinjoy soka safi, matumizi ya nguvu + akili Kwa timu zote mbili ...kiasi Kwamba kama zingeongezwa dk 10 basi Yanga wangefungwa
_ Tumeshuhudia mwamuzi wa viwango siyo wale wa makolo wanatoa penalty hovyo....mwamuzi kasimamia Sheria 17
_ mechi ya Jana ilikuwa ni ngumu kuliko hata kariakoo derby kama unabisha nutakupa facts za kiuchambuzi


NB wanaolalamikia GSM Jana mbna
Fatima Dewji ndiye mjumbe ya bodi ya wakurugenzi wa Singida Black stars, GSM Kaingiaje tena hapo?

Me sijawahi kuona Kolo mwenye fact za kubishana na mimi
1739800795078.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ila uto wanajiona wajanja kumbe ni ujinga tu ambao Azam na Simba nao wanaweza kufanya. Ukiachana na hiyo mechi ya jana, wewe uto unaweza kueleza ni sababu zipi zilipelekea ile mechi ya kwanza dhidi ya hao vilaza wenu kuchezwa zanzibar?
 
Ila uto wanajiona wajanja kumbe ni ujinga tu ambao Azam na Simba nao wanaweza kufanya. Ukiachana na hiyo mechi ya jana, wewe uto unaweza kueleza ni sababu zipi zilipelekea ile mechi ya kwanza dhidi ya hao vilaza wenu kuchezwa zanzibar?
Wenye mchezo ndio waliamua hivyo...


Tuache visingizio....mechi ilikuwa open sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mjitahidi wenye akili waongezeke huko maana hao wawili waliopo umri ushaenda ikitokea hawapo mtaendeshaje hiyo club, maana hata hiki ulichoandika kinathibitisha kuwepo kwa ombwe la wenye akili

Maana mechi ya jana mpk wasioona (vipofu) walisema ile haikuwa mechi ila maigizo maana mechi za namna hiyo ndiyo utaona dube anafunga
 
Mjitahidi wenye akili waongezeke huko maana hao wawili waliopo umri ushaenda ikitokea hawapo mtaendeshaje hiyo club, maana hata hiki ulichoandika kinathibitisha kuwepo kwa ombwe la wenye akili

Maana mechi ya jana mpk wasioona (vipofu) walisema ile haikuwa mechi ila maigizo maana mechi za namna hiyo ndiyo utaona dube anafunga
Duuh mbna mechi ilikuwa tight sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom