OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,815
- 12,129
Kwa tunaopenda kusoma between the line, Gamond amenukuliwa akisema Yanga haina kikosi kipana, kwani amewahi kujaribu kufanya rotation na akaambulia kupoteza dhidi ya ihefu, alipojaribu kwenda na kikosi cha kwanza kwa kila mechi akaanza kupokea lawama, ameyasema hayo ni baada ya kumalizika kwa mchezo wa yanga na KVZ ulioisha kwa sare ya bila bila.
Huu ni ujumbe kwa wachezaji wasiojituma kuwa wataachwa? pia huu ni ujumbe kwa mashabiki wote wa Yanga kwamba waache kelele za kutaka rotation ifanyike? pia hii ni salamu kwa upande wa pili kuwa kuanzia kesho kutwa tegemeeni kuona full mkoko katika kombe la mapinduzi.
Saikolojia inasema kwamba “RATIONALIZATION is a defense mechanism (ego defense) in which apparent logica reasons are given to justify behaviour that is motivated by uncouscious behaviour instictual impulses".
Endapo GAMOND ataaminiwa tutegemee thank you za kutosha dirisha dogo na kubwa, pia mlionza kupongeza rotation tegemeeni full mkoko game ijayo, msije kuwa suprised.
Nawasilisha.
Huu ni ujumbe kwa wachezaji wasiojituma kuwa wataachwa? pia huu ni ujumbe kwa mashabiki wote wa Yanga kwamba waache kelele za kutaka rotation ifanyike? pia hii ni salamu kwa upande wa pili kuwa kuanzia kesho kutwa tegemeeni kuona full mkoko katika kombe la mapinduzi.
Saikolojia inasema kwamba “RATIONALIZATION is a defense mechanism (ego defense) in which apparent logica reasons are given to justify behaviour that is motivated by uncouscious behaviour instictual impulses".
Endapo GAMOND ataaminiwa tutegemee thank you za kutosha dirisha dogo na kubwa, pia mlionza kupongeza rotation tegemeeni full mkoko game ijayo, msije kuwa suprised.
Nawasilisha.