Pre GE2025 Uchaguzi ujao tuepukane na makosa madogo madogo yanayoleta malamiko kwa wapinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
925
1,604
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano.

(1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye fomu yake ya kugombea.
(2) Iachane na vyombo vya usalama vinavyotumia nguvu kubwa.
(3) Iachane na kuwatumia Watumishi wa umma katika uchaguzi huu na mwisho iachane na kuwaengua wakala wa vyama pinzani.

Naishauri Tume Huru kuwaajiri vijana wengi waliomaliza Vyuo mbalimbali na wapo mitaani kusimamia uchaguzi huu wa Oktoba, 2025.

Haki itendeke aliyeshinda atangazwe na kusiwe na figisufigisu wa aina yeyote ile.
 
Tume iwe taasisi HURU ili iweze kushighulikia kazi zake bila ya kuingiliwa na Makada wa Vyama.
 
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano.

(1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye fomu yake ya kugombea.
(2) Iachane na vyombo vya usalama vinavyotumia nguvu kubwa.
(3) Iachane na kuwatumia Watumishi wa umma katika uchaguzi huu na mwisho iachane na kuwaengua wakala wa vyama pinzani.

Naishauri Tume Huru kuwaajiri vijana wengi waliomaliza Vyuo mbalimbali na wapo mitaani kusimamia uchaguzi huu wa Oktoba, 2025.

Haki itendeke aliyeshinda atangazwe na kusiwe na figisufigisu wa aina yeyote ile.
Ccm ingekuwa na uhakika wa kushinda, haya mapendekezo yako yangefanyiwa kazi.
 
CCM ni sawa na mashetani tu yenyewe hayajali chochote wanachotaka ni madaraka tu,hawajali wanayapataje.
Na hawatatoka hata siku moja kupitia sanduku la kura,Watanzania tulijue hilo.
 
Hawa jamaa hali ya UBINADAMU ilishawatoka kabisa linakuja suala la Madaraka..ni AIBU
CCM ni sawa na mashetani tu yenyewe hayajali chochote wanachotaka ni madaraka tu,hawajali wanayapataje.
Na hawatatoka hata siku moja kupitia sanduku la kura,Watanzania tulijue hilo.
 
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano.

(1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye fomu yake ya kugombea.
(2) Iachane na vyombo vya usalama vinavyotumia nguvu kubwa.
(3) Iachane na kuwatumia Watumishi wa umma katika uchaguzi huu na mwisho iachane na kuwaengua wakala wa vyama pinzani.

Naishauri Tume Huru kuwaajiri vijana wengi waliomaliza Vyuo mbalimbali na wapo mitaani kusimamia uchaguzi huu wa Oktoba, 2025.

Haki itendeke aliyeshinda atangazwe na kusiwe na figisufigisu wa aina yeyote ile.
Bila ya mabadiliko ya Tume huru ya uchaguzi CCM mwaka huu utakuwa ukomo wenu wa madaraka tumewachoka
 
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano.

(1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye fomu yake ya kugombea.
(2) Iachane na vyombo vya usalama vinavyotumia nguvu kubwa.
(3) Iachane na kuwatumia Watumishi wa umma katika uchaguzi huu na mwisho iachane na kuwaengua wakala wa vyama pinzani.

Naishauri Tume Huru kuwaajiri vijana wengi waliomaliza Vyuo mbalimbali na wapo mitaani kusimamia uchaguzi huu wa Oktoba, 2025.

Haki itendeke aliyeshinda atangazwe na kusiwe na figisufigisu wa aina yeyote ile.

Bila sheria kubadilishwa kwenda kupiga kura ni ujinga!
 
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano.

(1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye fomu yake ya kugombea.
(2) Iachane na vyombo vya usalama vinavyotumia nguvu kubwa.
(3) Iachane na kuwatumia Watumishi wa umma katika uchaguzi huu na mwisho iachane na kuwaengua wakala wa vyama pinzani.

Naishauri Tume Huru kuwaajiri vijana wengi waliomaliza Vyuo mbalimbali na wapo mitaani kusimamia uchaguzi huu wa Oktoba, 2025.

Haki itendeke aliyeshinda atangazwe na kusiwe na figisufigisu wa aina yeyote ile.
Bila sheria kubadilishwa kwenda kupiga kura ni ujinga!
Polisi wakikaa kando hata walemavu wa miguu watatembea kuandamana ila saizi ukinyanyua mdomo kuongea kesho na kesho kutwa tunakusikia umetekwa na watu wasiojulikana
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Back
Top Bottom