Mwalimu Novath
Member
- Feb 1, 2018
- 5
- 3
Niko kwenye prosses za kusajili taasisi ya kusaidia jamii hasa wanafunzi na vijana walioko kwenye mazingira magumu.
Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha wanafunzi na kuwapatia mahitaji muhumu na kuendeleza ustawi wa jamii kwa kutoa elimu ya afya bora na kutunza mazingira pamoja na usalama.
Naomba kwa yeyote anayeguswa kufadhili au kutuunganisha na wafadhili kukuza taasisi hii Mungu akubariki sana.
Tunapatikana kwa namba 0674992499
email: Novainuaorganization@gmail.com
Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha wanafunzi na kuwapatia mahitaji muhumu na kuendeleza ustawi wa jamii kwa kutoa elimu ya afya bora na kutunza mazingira pamoja na usalama.
Naomba kwa yeyote anayeguswa kufadhili au kutuunganisha na wafadhili kukuza taasisi hii Mungu akubariki sana.
Tunapatikana kwa namba 0674992499
email: Novainuaorganization@gmail.com