Uanzishwaji wa taasisi ya kusaidia jamii

Feb 1, 2018
5
3
Niko kwenye prosses za kusajili taasisi ya kusaidia jamii hasa wanafunzi na vijana walioko kwenye mazingira magumu.

Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha wanafunzi na kuwapatia mahitaji muhumu na kuendeleza ustawi wa jamii kwa kutoa elimu ya afya bora na kutunza mazingira pamoja na usalama.


Naomba kwa yeyote anayeguswa kufadhili au kutuunganisha na wafadhili kukuza taasisi hii Mungu akubariki sana.

Tunapatikana kwa namba 0674992499
email: Novainuaorganization@gmail.com
Copy of Black White Retro Y2K Streetwear Star Logo_20250205_223748_0000.png
 
Niko kwenye prosses za kusajili taasisi ya kusaidia jamii hasa wanafunzi na vijana walioko kwenye mazingira magumu.

Taasisi hiyo itaitwa NOVA INUA ORGANIZATION (NIO) yenye lengo la kusomesha wanafunzi na kuwapatia mahitaji muhumu na kuendeleza ustawi wa jamii kwa kutoa elimu ya afya bora na kutunza mazingira pamoja na usalama.


Naomba kwa yeyote anayeguswa kufadhili au kutuunganisha na wafadhili kukuza taasisi hii Mungu akubariki sana.

Tunapatikana kwa namba 0674992499
email: Novainuaorganization@gmail.com
View attachment 3242810

Jambo zuri sana kuwasaidia wahitaji kama hao vijana na wengine.

Nafikiri ni muhimu ukatoa na tovuti (website) yenu ambapo wadau wanaweza kupitia kufahamu zaidi kuhusu taasisi hiyo ikiwemo malengo yake kwa mapana, namna ya uendeshaji, mission and vision, nk.

Kila la kheri.
 
Jambo zuri sana kuwasaidia wahitaji kama hao vijana na wengine.

Nafikiri ni muhimu ukatoa na tovuti (website) yenu ambapo wadau wanaweza kupitia kufahamu zaidi kuhusu taasisi hiyo ikiwemo malengo yake kwa mapana, namna ya uendeshaji, mission and vision, nk.

Kila la kheri.
bado niko kwenye hatua za mwanzo hatujawa na tovuti bado.lakini itakuwepo baada ya kukamilisha usajili
 
Back
Top Bottom