UAE yakabidhi ndege kwa JWTZ

Nyarupala

JF-Expert Member
Jun 2, 2024
466
826
Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

#HabarileoUPDATES

Snapinst.app_475968050_1064543832382845_833132464437401346_n_1080.jpg
Snapinst.app_475871520_1064543825716179_390500917243770022_n_1080.jpg
 
DAR ES SALAAM: Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

Imeandaliwa na Mwandishi

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES
Hii ndio misaada achana na ile ya condom na arv
 
DAR ES SALAAM: Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

Imeandaliwa na Mwandishi

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES
Mwaka 1961 Tanzania alikua inatoa misaada ya chakula UAE walikua masikini wa kila kitu zazibar ilikua inamaendeleo kuliko Dubai sasa mwaka 2025 UAE inatoa msaada ndege ya mtumba outdated technology kwa Tanzania.......CCM oyeeeeeeeee
 
DAR ES SALAAM: Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

Imeandaliwa na Mwandishi

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES
Sisi kazi yetu misaada. Tutajitegemea lini? Je haiwezikutumika kutupeleleza au ndo utumwa wa kujitakia unarudi kwa mlango wa nyuma?
 
🤣 kweli Trump ana haki kufungia misaada Afrika.Yani tumeshindwa kwa rasilimali zote zilizopo Tz kununua ndege za jeshi kwa pesa ya ndani.Au ndege ya kubebea wanyama kupeleka huko.
Ile ndege syo ya mizigo mkuu
 
DAR ES SALAAM: Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

Imeandaliwa na Mwandishi

Zaidi tembelea //habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES
Wawekezaji wa Ngorongoro 🤣
 
Back
Top Bottom