Twitter lawamani kuwalazimisha watumiaji kumfuata Trump!

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,561
47,224
Baada ya kuapishwa kwa Trump kua Rais wa marekani, ameanza rasmi kutumia account ya twiter yenye alama ya POTUS, ikiwa na maana ya President of the United States of America! Watumiaji kadhaa wa akaunti ya twitter wamekua wakipost lawama kuwa either wameunganishwa na akaunti hiyo ya trump bila idhini yao, au hata kurudishwa baada ya kujiodoa.

Lawama hizo zimeelekezwa hata kwa account inayotumiwa na first lady yaani FLOTUS na account ya makamu wa rais bwana Pence.

Twitter forces people to follow @POTUS, @FLOTUS & @VP accounts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…