Twende mbele turudi nyuma Dis-track ya Baba levo (Harmo mavi) ni fire

Slowly

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
10,582
35,257
Jana na juzi na hata sasa , mji umezima ghafla, Rekodi inaonesha vifurushi vya internet vimenunuliwa Kwa wingi Sana siku ya juzi na hasa Jana

Vijana wawili wa Diamond Platnumz wameusimamisha mji, huku Baba Yao akiwa sehemu flani ametulia akiongeza Popcorn 😂

Bifu hili la Harmonize na Rayvanny limejumuisha kila aina ya wapambe na kila aina ya chawa, huku central figure akiwa ni mtoto mzuri Paula wa Kajala

Harmonize anaonekana ku-fight fiercely ili ku-retain trust ya brand yake ambayo Kwa sasa ipo heavily damaged, kufuatia Kuvuja Kwa video zake za utupu, hili ni pigo kibiashara na sio upande wa fan base

Jambo hili limefuatiwa na kutoka Kwa Dis-track kadhaa , hata hivyo Distrack ya Baba levo (Harmo mavi) Kwa upande wangu imekaa kibabe Sana .....

Mtoto Paula wa Kajala ameonekana kuipenda pia Distrack hyo na kuamua kulike kabisa....

Bongo sihami , kosa hela ya Kula usikose hela ya bando

IMG_20210414_092502.jpg


Hata hvyo management ya Konde gang ina mpango wa kulifikisha Jambo hili mahakamani....
 
Jana na juzi na hata sasa , mji umezima ghafla, Rekodi inaonesha vifurushi vya internet vimenunuliwa Kwa wingi Sana siku ya juzi na hasa Jana

Vijana wawili wa Diamond Platnumz wameusimamisha mji, huku Baba Yao akiwa sehemu flani ametulia akiongeza Popcorn 😂

Bifu hili la Harmonize na Rayvanny limejumuisha kila aina ya wapambe na kila aina ya chawa, huku central figure akiwa ni mtoto mzuri Paula wa Kajala

Harmonize anaonekana ku-fight fiercely ili ku-retain trust ya brand yake ambayo Kwa sasa ipo heavily damaged, kufuatia Kuvuja Kwa video zake za utupu, hili ni pigo kibiashara na sio upande wa fan base

Jambo hili limefuatiwa na kutoka Kwa Dis-track kadhaa , hata hivyo Distrack ya Baba levo (Harmo mavi) Kwa upande wangu imekaa kibabe Sana .....

Mtoto Paula wa Kajala ameonekana kuipenda pia Distrack hyo na kuamua kulike kabisa....

Bongo sihami , kosa hela ya Kula usikose hela ya bando

View attachment 1751503

Hata hvyo management ya Konde gang ina mpango wa kulifikisha Jambo hili mahakamani....
Ndio the best diss track katika hii vita.

Sasa kali zaidi ilikuwa ya Rayvanny ya mara ya kwanza ilikuwa ni trap fulani chaos kama zote, management ikaizuia kwa ajili ya brand....ingechafua brand wakamwambia kama anataka kupiga kombola basi awe diplomatic kidogo isiwe diss inayombomoa kibiashara.


Baba levo kamaliza kila kitu.
 
Ndio the best diss track katika hii vita.

Sasa kali zaidi ilikuwa ya Rayvanny ya mara ya kwanza ilikuwa ni trap fulani chaos kama zote, management ikaizuia kwa ajili ya brand....ingechafua brand wakamwambia kama anataka kupiga kombola basi awe diplomatic kidogo isiwe diss inayombomoa kibiashara.


Baba levo kamaliza kila kitu.
Nouma Sana chief
 
Jana na juzi na hata sasa , mji umezima ghafla, Rekodi inaonesha vifurushi vya internet vimenunuliwa Kwa wingi Sana siku ya juzi na hasa Jana

Vijana wawili wa Diamond Platnumz wameusimamisha mji, huku Baba Yao akiwa sehemu flani ametulia akiongeza Popcorn

Bifu hili la Harmonize na Rayvanny limejumuisha kila aina ya wapambe na kila aina ya chawa, huku central figure akiwa ni mtoto mzuri Paula wa Kajala

Harmonize anaonekana ku-fight fiercely ili ku-retain trust ya brand yake ambayo Kwa sasa ipo heavily damaged, kufuatia Kuvuja Kwa video zake za utupu, hili ni pigo kibiashara na sio upande wa fan base

Jambo hili limefuatiwa na kutoka Kwa Dis-track kadhaa , hata hivyo Distrack ya Baba levo (Harmo mavi) Kwa upande wangu imekaa kibabe Sana .....

Mtoto Paula wa Kajala ameonekana kuipenda pia Distrack hyo na kuamua kulike kabisa....

Bongo sihami , kosa hela ya Kula usikose hela ya bando

View attachment 1751503

Hata hvyo management ya Konde gang ina mpango wa kulifikisha Jambo hili mahakamani....
We jamaa ni lukamba nini..maana morali ipo juu sn kupush hizi mambo za WCB Vs konde

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
We hujui Kwa nini umoja wa Ulaya + USA waliungana kuwapiga watu wafuatao 1.Hittler 2. Gaddafi..... Konde boy anajua vizur what is going on behind the scenes.....na ndo mana anamlalamikia Kajala kama one of his worst mistake kuingia kwenye mahusiano naye.... Ila nyie wadangaji mnawaza tango 😂😂😂
 
We hujui Kwa nini umoja wa Ulaya + USA waliungana kuwapiga watu wafuatao 1.Hittler 2. Gaddafi..... Konde boy anajua vizur what is going on behind the scenes.....na ndo mana anamlalamikia Kajala kama one of his worst mistake kuingia kwenye mahusiano naye.... Ila nyie wadangaji mnawaza tango 😂😂😂
Mtatoa povu sana vibamia wahed

7143837B-62EA-4DA2-964D-D2DA294240BA.jpeg
 
Huu wimbo mbona nausechi account ya Baba Levo YouTube sijaupata?

Napenda sana diss track zenye matusi na kejeli
 
Back
Top Bottom