Pre GE2025 Tuwe Wakweli: Zaidi ya Dkt. Samia, ni mwanaCCM gani Mwingine Mwenye Uwezo wa kuwa Rais wa JMT?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,695
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Mbona wote hawafai pamoja na huyo anayetanguliza pesa mbele.
 
Kwa mfano Wasira anafaaa!
Yaani mtu awe na sifa za kuwepo ndani ya CCM tangu Nyerere, tangu akiwa na miaka 25 mpaka miaka 80 bado ni mwanaCCM mwandamizi, na leo hii ni makamu mwenyekiti wa CCM, kwanini asiwe na sifa za kutosha kuwa mgombea wa CCM wa urais?

Kwa uwezo wa Wasira (akiwa angekuwa ni rais), huenda Samia asiwe na uwezo wa kupewa hata unaibu waziri wa michezo na utamaduni.
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Hakika Mama yako alikuangusha udogoni.

Rais Samia ni Mzanzibar ambayo idadi yake ya watu hawazidi 2 million.

Tanganyika ina idadi ya watu wasiopungua 65 million.

Ikiwa watu 65 million hawawezi kutoa kiongozi maana yake watanganyika wote wana mtindio wa ubongo.
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀


Before mama samia kuwa makamu wa Rais ungeweza kusema mama samia ni mwana ccm ambae alifaa kuwa raisi?
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Prof Muhongo
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Tatizo ni siasa za kuchafuana. Mi ukiniuliza nitajibu Dkt Samia anafaa ila tatizo kuu kachafua wengine sana (mfano dhihaka dhidi ya late bosi wake) na yeye kachafuliwa balaa, kiasi kwamba kwa wananchi hawamuelewi kabisa. Nadhani tufikie hatua ya siasa za ushindani wa kufanya vitu badala ya siasa za kuchafuana
 
Kwa mfano Wasira anafaaa!
Yaani mtu awe na sifa za kuwepo ndani ya CCM tangu Nyerere, tangu akiwa na miaka 25 mpaka miaka 80 bado ni mwanaCCM mwandamizi, na leo hii ni makamu mwenyekiti wa CCM, kwanini asiwe na sifa za kutosha kuwa mgombea wa CCM wa urais?

Kwa uwezo wa Wasira (akiwa angekuwa ni rais), huenda Samia asiwe na uwezo wa kupewa hata unaibu waziri wa michezo na utamaduni.
Tungepata/tutapata watalii wengi sana ikulu.
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Acha makufuru mwana ccm mwenzangu. Kwamba ataishi milele ili aendelee kufaa daima.
 
Kwa sasa siyo CCM tu,bali hata vyama vingine vya upinzaniae,hakuna anaeweza kuvaa viatu vya uraisi,isipokuwa Mama Samia peke yake.
2025,tupo na Mama
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Hakuna.
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Muwe wakweli au muwe Wajinga?
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Deogratius Kissandu
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Babutale na stivu ake
 
Kwa sasa siyo CCM tu,bali hata vyama vingine vya upinzaniae,hakuna anaeweza kuvaa viatu vya uraisi,isipokuwa Mama Samia peke yake.
2025,tupo na Mama
Msije mkampoteza
IMG-20250210-WA0031.jpg
 
Back
Top Bottom