Tunduma: Rais Samia Awataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na Tozo kuepuka mikopo. Asema Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
51,737
61,281
Akihutubia maelfu ya Wananchi waliofika kumpokea wakati akiwa njiani kupelekea Dodoma akitokea Rukwa,Rais wa JMT amewataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na tozo wanazopaswa kulipa.

Rais Samia amesisitiza kwamba pesa ambazo Serikali inazikusanya ndio hizo zinazotumika kutekeleza miradi ya mabilioni kwenye maeneo Yao na kusema hizo hela Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi.

Rais Samia amesema Serikali yake inaendelea kutatua Changamoto zinazowakabili wafanyabiashara hivyo wakati zinafanyiwa kazi watu Walipe Kodi Ili Serikali ilete maendeleo na ipunguze kukopa ambako wanatozwa riba na njia pekee ni Wananchi kulipa Kodi na tozo.👇👇


My Take
Hongera Rais Samia Kwa kusisitiza jambo la Kodi.

Hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii, tudai uwajibikaji wa Serikali baada ya kulipa Kodi na si vinginevyo.👇👇

Pia soma hapa Rais Samia: "Lipeni Vijitozo Serikali Ifanye Maendeleo Nchini"

Aidha soma Rais Samia asikitika kuona wafanyabiashara wakitumia mbinu kukwepa kulipa kodi
 
Chadema watasema mama anachukiwa sana ameuza Mali za Tanganyika 😁😁😁
Haha wapumbavu sana hao Chadema

Nyanda za Juu Kusini imekua suprize kubwa sana kwa Nyumbu kuona Mikutano ya Rais imejaa na Ina marika yote
Vijana , watoto, wazee , akina mama nk

Katavi, Rukwa, Songwe hakuna Jimbo litaondoka CCM

Majimbo yote yatasalia CCM 2025-30

Yaan Mama kama anamsukuma mlevi hivi
 
Haha wapumbavu sana hao Chadema

Nyanda za Juu Kusini imekua suprize kubwa sana kwa Nyumbu kuona Mikutano ya Rais imejaa na Ina marika yote
Vijana , watoto, wazee , akina mama nk

Katavi, Rukwa, Songwe hakuna Jimbo litaondoka CCM

Majimbo yote yatasalia CCM 2025-30

Yaan Mama kama anamsukuma mlevi hivi
Hata hivyo Samia ametenda Haki Maendeleo ya Kanda hii kuanzia Kigoma hadi Iringa na Ruvuma huko.

Samia ahukumiwe Kwa mengine ila sio Kwa miradi ya Maendeleo,hakuna Rais amemwaga pesa nyingi kumzidi hayupo 👇👇

View: https://twitter.com/mwigulunchemba1/status/1813813043224064085?t=Y4jxQALnLrLTU69LvXA2fA&s=19
 
Magari 250 kila gari lina watu 8 piga hesabu, huyu kaja na watu wake , changanya na wajumbe wa mashina
Leta wewe hiyo hesabu tuione.

Mbona nyie mnapanda helikopta 2 na magari Juu,hesabu yake ni ngapi?

Mwisho ulinzi wa Rais hauna hesabu Wala gharama so acha utoto.
 
Akihutubia maelfu ya Wananchi waliofika kumpokea wakati akiwa njiani kupelekea Dodoma akitokea Rukwa,Rais wa JMT amewataka Wafanyabiashara Walipe Kodi na tozo wanazopaswa kulipa.

Rais Samia amesisitiza kwamba pesa ambazo Serikali inazikusanya ndio hizo zinazotumika kutekeleza miradi ya mabilioni kwenye maeneo Yao na kusema hizo hela Haziendi Kwenye Mifuko ya Viongozi.

Rais Samia amesema Serikali yake inaendelea kutatua Changamoto zinazowakabili wafanyabiashara hivyo wakati zinafanyiwa kazi watu Walipe Kodi Ili Serikali ilete maendeleo na ipunguze kukopa ambako wanatozwa riba na njia pekee ni Wananchi kulipa Kodi na tozo.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C9j66fvtM8S/?igsh=aHJ4OGhud2R2MDVl

My Take
Hongera Rais Samia Kwa kusisitiza jambo la Kodi.

Hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii,tudai uwajibikaji wa Serikali baada ya kulipa Kodi na si vinginevyo.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9j90nfqgA_/?igsh=YzdpdnNvNThvb3d2

Pia soma hapa Rais Samia: "Lipeni Vijitozo Serikali Ifanye Maendeleo Nchini"

Aidha soma Rais Samia asikitika kuona wafanyabiashara wakitumia mbinu kukwepa kulipa kodi


Haziendi kwenye mifuko ya viongozi. Namna hiyo?
 
Wanafunzi ni wapiga kura pia

Endeleeni kudharau wapiga kura

Alafu angalia age hapo

Kwanzia 14-60 ndio ujue CCM ni chama Cha marika yote
Ngoja nimuoneshe wapigakura wa mwakani kwenye shule hii ambayo Rais amewatembelea
20240717_123738.jpg


My Take: Hoa wako form 5&6 mwakani wanapiga kura Kwa Samia 😁😁
 
Back
Top Bottom