johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,685
Tundu Lissu anasema siyo Kweli kwamba Mbowe ndio amemuonya kisiasa Kwa sababu 1995 wote Wawili waligombea Ubunge majimboni mwao Lisu akiwa NCCR Mageuzi na Mbowe akiwa Chadema
Lissu anasema YEYE ndio kamuinua Mbowe baada ya kujiunga Chadema na kumsaidia Kushinda KESI nyeti za uchaguzi katika Uongozi wake ikiwemo ya Tyson Wassira vs Bulaya kule Bunda
Endeleeni Kunywa mtori nyama mtazikuta chini 😂
Huu Mkutano mkuu wa CCM ni kufuru kama Mwamba alichangamkia Fursa ni halali yake 🐼
Lissu anasema YEYE ndio kamuinua Mbowe baada ya kujiunga Chadema na kumsaidia Kushinda KESI nyeti za uchaguzi katika Uongozi wake ikiwemo ya Tyson Wassira vs Bulaya kule Bunda
Endeleeni Kunywa mtori nyama mtazikuta chini 😂
Huu Mkutano mkuu wa CCM ni kufuru kama Mwamba alichangamkia Fursa ni halali yake 🐼