Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 398
- 844
Wewe uko wapi?Sawa SAWA
Kila La Heri
Kiukweli Lissu HANA mvuto wa Mwenyekiti. Bora angelibaki kwenye Umakamu tu!Mtumishi wa Mungu Tundu Lissu katika Misa ya Shukrani kijijini Mahambe Ikungi hakika Bwana wa Vita hajawahi kushindwa vita yoyote,
View: https://www.youtube.com/live/nZHlJViFXM8?si=j15DzdwkbESXm_sTNanachojua Mungu ananguvu zaidi ya nguvu za wanadamu,
Kanisa moja takatifu la Mitume
Mungu mlinde Tundu Lissu, hayuko salama hata kidogo, anasakamwa sana na kina Malaria 2 na Chama chakeMtumishi wa Mungu Tundu Lissu katika Misa ya Shukrani kijijini Mahambe Ikungi hakika Bwana wa Vita hajawahi kushindwa vita yoyote,
View: https://www.youtube.com/live/nZHlJViFXM8?si=j15DzdwkbESXm_sTNanachojua Mungu ananguvu zaidi ya nguvu za wanadamu,
Kanisa moja takatifu la Mitume
Maneno ya kishoga haya wewe mtoto wa kiumbe mambo ya mvuto ya Nini?Kiukweli Lissu HANA mvuto wa Mwenyekiti. Bora angelibaki kwenye Umakamu tu!
Sio KweliWakati usiku alikuwa anakesha na waganga wakimchanja chale na kumuosha dawa makaburini
Wakatoliki walimtoa Mbowe M-KKKT, maana walijunga padri kitima, padri Slaa, na Baraza la Maaskofu. Waliona ndani ya CCM mkatoliki ni ngumu kupata first kwa sasaKumbe Lissu ni Mkatoliki basi hii vita ni balaa
Mganga ulikuwepo ? Mbona utangazi hudumaWakati usiku alikuwa anakesha na waganga wakimchanja chale na kumuosha dawa makaburini
Wewe SHOGA? Kama sio mambo ya kishoga umeyajuaje?Maneno ya kishoga haya wewe mtoto wa kiumbe mambo ya mvuto ya Nini?
Mtu anataka awe Rais anachanjwa chale mpaka kwenye exhaust pipeMganga ulikuwepo ? Mbona utangazi huduma
Mzee mmoja kahojiwa na media 4 tofauti !! Tena zote zimetoka Dodoma kumuhoji yeye tu na sio public figure!!! Hayo maigizo ya Ccm unadhani nani ana muda nayo?Nimemsikia mzee mmoja akihojiwa anasema wananchi wa huko wanalalamika Mh huwa hana ushirikiano na watu wa kwao, hata kwenye misiba hashiriki!!
Sawa walijungaWakatoliki walimtoa Mbowe M-KKKT, maana walijunga padri kitima, padri Slaa, na Baraza la Maaskofu. Waliona ndani ya CCM mkatoliki ni ngumu kupata first kwa sasa