Tishio limepita.Gentleman,
kwani ile bullet proof vest alikua anavaa ya nini kwa mfano? π
Hilo swali la kuvaa au kutovaa bullet proof muulize yeye mwenyewe Lissu.My friends, ladies and gentleman,
Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi havai tena bullet proof vest aliyoivaa kwa mbwembwe sana baada ya kudai kupigiwa simu na mtu aliemuita mzito na muhimu sana humu nchini, na kumshauri ati ajiongezee ulinzi ati usalama wake uko mashakani. Nae kwa kukurupuka akaanza kuvaa mbullet proof mweusi utadhani yupo doria huko ghaza.
Au aligundua kwamba wataalamu wa inteligensia ambao alidai ni marafiki zake waliompigia simu nyingi sana na kumuelekeza avae bullet proof vest, walimuhadaa na kumpotosha?
Au ilikua ni mbinu ya tu ku-renew exile visa ili iwe halali kwa mabwenyenye yanayomfadhili, ili aendelee kula maisha ya ughaibuni, yeye na familia yake.
Au alijitathimini na kujiona amekua kama askari wa doria, na kwamba iwe amevaa au hajavaa bullet proof vest wahalifu wakiamua, wanaweza kumfikia na kutimiza malengo yao maovu bila mbambamba yoyote?
Unadhani ni nini kimemfanya kibaraka kuacha kuvaa bullet proof vest?π
Mungu Ibarik Tanzania.
Pia soma
- Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Umeanzisha uzi chini ya kiwango. Unataka kufahamu jambo ambalo halina nyongeza ktk ufahamu wako.My friends, ladies and gentleman,
Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi havai tena bullet proof vest aliyoivaa kwa mbwembwe sana baada ya kudai kupigiwa simu na mtu aliemuita mzito na muhimu sana humu nchini, na kumshauri ati ajiongezee ulinzi ati usalama wake uko mashakani. Nae kwa kukurupuka akaanza kuvaa mbullet proof mweusi utadhani yupo doria huko ghaza.
Au aligundua kwamba wataalamu wa inteligensia ambao alidai ni marafiki zake waliompigia simu nyingi sana na kumuelekeza avae bullet proof vest, walimuhadaa na kumpotosha?
Au ilikua ni mbinu ya tu ku-renew exile visa ili iwe halali kwa mabwenyenye yanayomfadhili, ili aendelee kula maisha ya ughaibuni, yeye na familia yake.
Au alijitathimini na kujiona amekua kama askari wa doria, na kwamba iwe amevaa au hajavaa bullet proof vest wahalifu wakiamua, wanaweza kumfikia na kutimiza malengo yao maovu bila mbambamba yoyote?
Unadhani ni nini kimemfanya kibaraka kuacha kuvaa bullet proof vest?π
Mungu Ibarik Tanzania.
Pia soma
- Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Wewe kijakazi yunus mbona unaweweseka sana?!My friends, ladies and gentleman,
Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi havai tena bullet proof vest aliyoivaa kwa mbwembwe sana baada ya kudai kupigiwa simu na mtu aliemuita mzito na muhimu sana humu nchini, na kumshauri ati ajiongezee ulinzi ati usalama wake uko mashakani. Nae kwa kukurupuka akaanza kuvaa mbullet proof mweusi utadhani yupo doria huko ghaza.
Au aligundua kwamba wataalamu wa inteligensia ambao alidai ni marafiki zake waliompigia simu nyingi sana na kumuelekeza avae bullet proof vest, walimuhadaa na kumpotosha?
Au ilikua ni mbinu ya tu ku-renew exile visa ili iwe halali kwa mabwenyenye yanayomfadhili, ili aendelee kula maisha ya ughaibuni, yeye na familia yake.
Au alijitathimini na kujiona amekua kama askari wa doria, na kwamba iwe amevaa au hajavaa bullet proof vest wahalifu wakiamua, wanaweza kumfikia na kutimiza malengo yao maovu bila mbambamba yoyote?
Unadhani ni nini kimemfanya kibaraka kuacha kuvaa bullet proof vest?π
Mungu Ibarik Tanzania.
Pia soma
- Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Gentleman,Hilo swali la kuvaa au kutovaa bullet proof muulize yeye mwenyewe Lissu.
Lissu alishamiminiwa risasi huko nyuma na hadi leo hakuna mtu amekamatwa kuhojiwa.Nadhani sio swala la kukejeli.
naona sayansi ya siasa gentleman,Wewe kijakazi yunus mbona unaweweseka sana?!View attachment 3203689
Mkuu wataalam wa usalama wanaweza kuwa na majibu sahihi.Gentleman,
kwanini avae bullet proof vest wakati wa kwenda kuchukua na kurudisha fomu tu pale chadema HQ?
inamaana pale HQ kuna kitisho cha usalama wake, yaani ni kama ghaza? right?π
Inabidi uchuguzi ufanyike au tusubiri tena uchaguzi mwingine, ili ndiyo waanze kufafanua na kuvuana nguo kwanini alivaa bullet proof vest wakati wa kuchukua na kurudisha fomu tu?Mkuu wataalam wa usalama wanaweza kuwa na majibu sahihi.