Tundu Lissu aliruhusiwa na Mbowe au na Bunge kuishi kwenye nyumba ya Serikali iliyotengwa maalum kwa ajili ya KUB!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
96,970
169,996
Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?

Nimekaa pale kuelimishwa 🐼
 
Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Serikali aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu

Nimekaa pale kuelimishwa 🐼
Mbowe anataka kutupiga kamba zake za kikonyagi konyagi anafikiri wote walevi kama yeye
 
Upinzani Ndio wanatoa jina. Baada ya Mbiwe aliyekuwa anafuata ni Tundu Lissu.

Mbowe alikuwa na makazi yake binafsi ya kuishi hivyo akaridhia hiyo nyumba iksluwe na mnadhimu wa chama.

Huu ni utaratibu wa kawaida wala haikuwa favour ya kuiongelea sasa.
 
Upinzani Ndio wanatoa jina. Baada ya Mbiwe aliyekuwa anafuata ni Tundu Lissu.

Mbowe alikuwa na makazi yake binafsi ya kuishi hivyo akaridhia hiyo nyumba iksluwe na mnadhimu wa chama.

Huu ni utaratibu wa kawaida wala haikuwa favour ya kuiongelea sasa.
Kwahiyo ni obvious 😂😂
 
Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?

Nimekaa pale kuelimishwa 🐼
Huu nj mjadala wa kipuuzi tu, hata asingepewa aishi alikuwa na uwezo kujipangia nyumba, nyumbu wote mnaojadili makazi hata kuku ana makazi
 
Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?

Nimekaa pale kuelimishwa 🐼
Hata Jiwe aligawa mijumba ya serikali kama njugu kwa mahawala yake ...hii nchi ngumu kuielewa
 
Kama mimi lissu ningalimuheshimu Mbowe kama baba yangu, kitendo cha kumnusuru maisha yake ni tosha kumuheshimu
Alishampa hiyo heshima na Akasema hatogombea

Shida kaileta huyo Mbowe mwenyewe kwa kutaka kumtoa lissu kwenye uongozi wa juu ndani ya chama baada ya kitofautiana misimamo,

Kitendo cha kumpa maelezo Wenje aje amchalenge Lissu wakati wenje hakua na wazo hilo, vita kainza mwenyewe

Lissu kaona hizi dharau sasa nakuheshimu kumbe inanidharau nakufata huko huko juu

Mbowe alikalili kwamba ye ndo Godfather wakupanga safu za uongozi kwa mda wote aliokua chadema, safari hii kakutana na watu smart wanaomjua na wanajua figisu zake wamempiga shambulizi la kustukiza kapoteana
 
In whatever case, Tundu kabebwa sana na Freeman

Tunaomjua Tundu ndio tunamkataa..

Hizi porojo zenu za kwamba msaada hauna maana ni sawa vile vile wala sio mapya.

Ni nature ya watanzania waliokulia kwenye umasikini, ukiwasaidia kuna siku wata ku backstab.

Nakupa privilege and platforms na bado uje unidhihaki.... Dah, Mbowe ni gentleman sana.
 
Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?

Nimekaa pale kuelimishwa

Ni Mbowe
ulizia lingine mkuu
 
Back
Top Bottom