Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,065
- 2,378
Nliwahi waambia wenzangu kwenye group letu la Wa Kimataifa kuwa sawa tunatoa bakshishi wapinzani wa Tz wawabanie sana Simba. Simba wapate ugumu. Hii inawanoa Simba sana. Simba wanapata ushindi kwa mbinde kila match kwao ngumu. Hapo wanajifunza mbinu mbalimbali.
Sisi kuna matches tukicheza tunajiamulia tuwapige ngapi wapinzani. Wanafungika kichovu sana na tunadhani tupo imara. Kumbe si kweli. Tunajidanganya wenyewe na akina Chama wazee, akina Dube Mchafukoge na Mzize hapati kash kash za ukweli.
Tunapokuja Kimataifa kwenye matches za ukweli. Acha zile za yule kocha wa Al Hilal fala ameamua kutugawia sisi na AS Vita furaha. Match ambayo tulicheza na AS Vita kiukweli ilikuwa ile ya Congo. Ile tulicheza kuwapasua kweli kweli
Leo Kocha wetu anaongea kimafumbo. Kuwa hatuna ligi ngumu. Why? Anajua kuwa ligi yetu ni ya kimagumashi.
Sisi kuna matches tukicheza tunajiamulia tuwapige ngapi wapinzani. Wanafungika kichovu sana na tunadhani tupo imara. Kumbe si kweli. Tunajidanganya wenyewe na akina Chama wazee, akina Dube Mchafukoge na Mzize hapati kash kash za ukweli.
Tunapokuja Kimataifa kwenye matches za ukweli. Acha zile za yule kocha wa Al Hilal fala ameamua kutugawia sisi na AS Vita furaha. Match ambayo tulicheza na AS Vita kiukweli ilikuwa ile ya Congo. Ile tulicheza kuwapasua kweli kweli
Leo Kocha wetu anaongea kimafumbo. Kuwa hatuna ligi ngumu. Why? Anajua kuwa ligi yetu ni ya kimagumashi.