Huyu Sio Trump dude, ni AI. Trump hajasema hayo
AMESEMA ZEI WANT TO SEE AFRICA IKIDEVELOPU SASA MBELEKO IMECHANIKA RASMI!!!
Bado hamjasema, this time around hamtaamini huyo mjuba ni mdeadly🤗😀😀!!!Huyu Sio Trump dude, ni AI. Trump hajasema hayo
Kuna watu wengi sana [akiwemo huyo aliyeiweka hiyo clip] wanaoamini kuwa Trump kasema hivyo kweli.Huyu Sio Trump dude, ni AI. Trump hajasema hayo
personal hate sio bro,Kuna watu wengi sana [akiwemo huyo aliyeiweka hiyo clip] wanaoamini kuwa Trump kasema hivyo kweli.
Kiwango cha upumbavu walichonacho Watanzania ni breathtaking!
Hii inatokea Marekani sio maigizo ni wakati wa watawala wa Africa waanze kufunga mikanda.📌📌TRUMP BABA UNAJUA, UNAJUA SANA. HONGERA ZAKO!!!KAZA HIVYO HIVYO MPAKA TUSEME!!!
MWENYE EMAIL YA TRUMP AIWEKE KWENYE COMMENT KUNA JAMBO NATAKA NIMWAMBIE🥱
UZI TIARI!!
Mfuate X zamani twitter!📌📌TRUMP BABA UNAJUA, UNAJUA SANA. HONGERA ZAKO!!!KAZA HIVYO HIVYO MPAKA TUSEME!!!
MWENYE EMAIL YA TRUMP AIWEKE KWENYE COMMENT KUNA JAMBO NATAKA NIMWAMBIE🥱
UZI TIARI!!
Mshana Jr huyoKuna watu wengi sana [akiwemo huyo aliyeiweka hiyo clip] wanaoamini kuwa Trump kasema hivyo kweli.
Kiwango cha upumbavu walichonacho Watanzania ni breathtaking!
Iwe kweli au kutengenezwa bado haitobadili uhalisia, africa inategemea mipango yake mingi ya maendeleo ifanywe na wazungu na hii inatulemaza.
MIMI NIMEFUNGA KUDUNGA DUNGA MPAKA JUNI 2025 HUKO LABDA UPEPO UTAKUWA UNAVUMA KWA STARA.FAMASIHALA NINI🤗🤗🤗Ngoja upate ngoma mtoa mada baadae ute umsifie trump
huko hatanizingatia inabidi nimuandikie GAZETI LA KUMSIFU KAMA AFANYAVYO NDUGU KATIKA UTANZANIA BWANA Lucas Mwashamba🤗🤗 huku nikibubujikwa na machozi kwa UKOMBOZI WAKE kwetu sisi BLACK PEOPLE.Mfuate X zamani twitter!
Upumbavu wa AI
AI au original bado TRUMP na MUSK wanafanya kazi ya kinabiii.Upumbavu wa AI