Tunaomkubali Donald Trump tukutane hapa

Kuna watu wengi sana [akiwemo huyo aliyeiweka hiyo clip] wanaoamini kuwa Trump kasema hivyo kweli.

Kiwango cha upumbavu walichonacho Watanzania ni breathtaking!
personal hate sio bro,

we are having fun🤗🤗🤗

📌But deep down Trump amefanya jambo jema kutukumbusha kuwa ILI INCHI IWE HAI LAZIMA TUJIBEBE,TUJITAMBUE NA TUACHE KONAKONA!!!!
 
📌📌TRUMP BABA UNAJUA, UNAJUA SANA. HONGERA ZAKO!!!KAZA HIVYO HIVYO MPAKA TUSEME!!!

MWENYE EMAIL YA TRUMP AIWEKE KWENYE COMMENT KUNA JAMBO NATAKA NIMWAMBIE🥱

UZI TIARI!!
Hii inatokea Marekani sio maigizo ni wakati wa watawala wa Africa waanze kufunga mikanda.

Hii itawafanya wengi wao kutotaka kuwa viongozi.

Hii inaitwa fagio la chuma. Wataanikwa wengi na pengine kuna kesi nyingi zitaibuliwa.

Sio yote anayofanya ni mazuri but mwizi anamjua mwizi mwenzake.

Corruption ndio inaua ustawi wa dunia hii.

Acha asafishe tupumzike kusikia world bank imeota Tz million. Sijui uesaid imetoa msaada blabla.

Mjiulize mbona wafanyakazi wa haya mashirika dunia ya tatu walikuwa wanaishi lavishly life! Jibu ni corruption kuanzia huko zinatoka pesa.

Tutaanzia kuheshimiana. Utakula kwa jasho lako!
 
📌📌TRUMP BABA UNAJUA, UNAJUA SANA. HONGERA ZAKO!!!KAZA HIVYO HIVYO MPAKA TUSEME!!!

MWENYE EMAIL YA TRUMP AIWEKE KWENYE COMMENT KUNA JAMBO NATAKA NIMWAMBIE🥱

UZI TIARI!!
Mfuate X zamani twitter!
 
Trump bomaye, hahaha! Tuliokuwa tunapenda CNN, BBC, ABC, MSNBC, New York Times....na takataka zingine kwa jina big media house tuhamie X maana kumbe huwa tunalishwa makapi kwa manufaa yao!

Elon na Trump wametuondolea vifungo vya kuwa misukule!
 
Ngoja upate ngoma mtoa mada baadae ute umsifie trump
MIMI NIMEFUNGA KUDUNGA DUNGA MPAKA JUNI 2025 HUKO LABDA UPEPO UTAKUWA UNAVUMA KWA STARA.FAMASIHALA NINI🤗🤗🤗

WEWE MIMI NASOMA UPEPO HAPA TRUMPET KAGUSA PENYE UTAMU SIO POA🙌🙌🙌

Kwahiyo saivi mnaisingizia NGOMA ili mpewe misaada🤣🤣🤣🤣

📌📌📌BABA TURAMPU BABA WEWE NI MASIHA UNAJUA MPAKA BASI.HII GUSA ACHIA LAZIMA MASKINI TUITE MAJI MMAAAA😂😂😂
 
Back
Top Bottom