Tunakikumbatia kiswahili saana. Mkutano mkubwa wa kimataifa watu wanataka kujua nini kinaendelea. Tafuteni wazungumzaji wa lugha ya kiingereza

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,894
76,805
Limkutano likubwa mnaweka watangazaji wa TBC wanaowaogopa wageni.

Kikeke yupo hapo....Yunusi yupo hapo. Iteni watu wanaoweza kuwahoji wageni wawahoji Marais kadri wanavyoingia nchini. Hii ni fursa ya kujitangaza na kujijengea heshima.

Tuchangamke wabongo.

Na kesho ndiyo itakuwa aibu kama ilivyokuwa kwa mkalimani wa Dodoma kipindi Magufuli anaapishwa.....Wabongo ambao wanaweza kuzungumza kiingereza wapo ....wapeni nafasi.
 
Problem is, TZ has no internationally reputable media outlet. Neither, TBC nor Azam TV have foreign audiences.

And incase you don't know, it's hard to schedule an interview with international dignitaries, especially heads of states. Unless you're a top-dog like BBC or VOA, you can never make a head of state want to talk to you.​
 
Tatizo Ni Upuuzi Wa Kudharau Mambo
Hao Uliwataja Kwakuwa Wana Ujuzi Waitwe Chap Chap Wapige Kazi Kwa Siku Mbili Ili Tanzania Waelewe Wageni Wana Mapya Gani
Labda hawataki washine.....wakiona watanzania wengine wanaifanyia nchi kazi roho zinawauma.
 
Tatizo Ni Upuuzi Wa Kudharau Mambo
Hao Uliwataja Kwakuwa Wana Ujuzi Waitwe Chap Chap Wapige Kazi Kwa Siku Mbili Ili Tanzania Waelewe Wageni Wana Mapya Gani

Watu kibao wanafuatilia lakini hawaoni chochote.....huu mkutano ungekuwa Kenya tu hapo jirani ungeona jinsi media zingeitangaza nchi more especially the state media.
 
Problem is, TZ has no internationally reputable media outlet. Neither, TBC nor Azam TV have foreign audiences.

And incase you don't know, it's hard to schedule an interview with international dignitaries, especially heads of states. Unless you're a top-dog like BBC or VOA, you can never make a head of state want to talk to you.​
Fairly understood.

I hv watched a couple of summits, head of states inauguration ceremonies where journalists chip here and there just for headups..... it doesn't hv to be formal or too organized.....
 
Back
Top Bottom