Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Wakuu salaam
Ni kwamba nina rafiki angu ambae nlisoma nae leo asubuhi kanipigia simu na kuniomba ushauri kwangu na hata Kwa wadau wengine wa huku Jf
Rafiki angu huyu ana mwanamke wake ambae amezaa nae mtoto mmoja Ila now wanaishi mbalimbali japo ni mikoa ya jirani Sana
Mama mtoto wa huyu jamaa ni muajiriwa na huyu jamaa angu ni mpiga mishe Tu wa town bado mambo yake hayajasettle anapata hela ya kula na kulipa bills za maji umeme na kodi ya chumba ingawa hiyo pesa nayo anaipata Kwa kuunga unga sana hivyo inakua ngumu kumuhudumia mtoto ipasavyo na mamake
Sasa inshu ipo hivi jamaa alipigiwa simu na huyo mama mtoto wake na kumwambia aache kazi anayoifanya arudi Kwa mke wake akakae Tu coz mwanamke anaona hakuna hela inayopatikana
Sasa anataka arudi akakae Tu home jamaa bado anawaza aache kazi then akalelewe Tu na mama mtoto wake ,huku aliko anapata hela japo kidogo Sana lakini hasumbuani na mtu kuomba omba hata vocha sasa je akiacha hii kazi inayomwingizia kidogo na kwenda kukaa jobless na kumtegemea mwanamke Kwa kila kitu itakuaje
Ebu tumshauri huyu jamaa
Na yeye ampe sharti huyo mwanamke amwambie kama unataka nije basi niangalizie mtaji nianze biashara tusaidiane.Wakuu salaam
Ni kwamba nina rafiki angu ambae nlisoma nae leo asubuhi kanipigia simu na kuniomba ushauri kwangu na hata Kwa wadau wengine wa huku Jf
Rafiki angu huyu ana mwanamke wake ambae amezaa nae mtoto mmoja Ila now wanaishi mbalimbali japo ni mikoa ya jirani Sana
Mama mtoto wa huyu jamaa ni muajiriwa na huyu jamaa angu ni mpiga mishe Tu wa town bado mambo yake hayajasettle anapata hela ya kula na kulipa bills za maji umeme na kodi ya chumba ingawa hiyo pesa nayo anaipata Kwa kuunga unga sana hivyo inakua ngumu kumuhudumia mtoto ipasavyo na mamake
Sasa inshu ipo hivi jamaa alipigiwa simu na huyo mama mtoto wake na kumwambia aache kazi anayoifanya arudi Kwa mke wake akakae Tu coz mwanamke anaona hakuna hela inayopatikana
Sasa anataka arudi akakae Tu home jamaa bado anawaza aache kazi then akalelewe Tu na mama mtoto wake ,huku aliko anapata hela japo kidogo Sana lakini hasumbuani na mtu kuomba omba hata vocha sasa je akiacha hii kazi inayomwingizia kidogo na kwenda kukaa jobless na kumtegemea mwanamke Kwa kila kitu itakuaje
Ebu tumshauri huyu jamaa
Na yeye ampe sharti huyo mwanamke amwambie kama unataka nije basi niangalizie mtaji nianze biashara tusaidiane.
MKUU,
UNAMAANISHA KABISA-
WATAKA KWENDA KUMTEGEMEA MWANAMKE???!!!
NAKUPA WIKI 3 TU,
UTAKUJA KUSIMULIA KITAKACHOKUKUTA!!!
Hii haijakaa poa kivile kwa wanaopendana wote!!Na yeye ampe sharti huyo mwanamke amwambie kama unataka nije basi niangalizie mtaji nianze biashara tusaidiane.
Wakuu salaam
Ni kwamba nina rafiki angu ambae nlisoma nae leo asubuhi kanipigia simu na kuniomba ushauri kwangu na hata Kwa wadau wengine wa huku Jf
Rafiki angu huyu ana mwanamke wake ambae amezaa nae mtoto mmoja Ila now wanaishi mbalimbali japo ni mikoa ya jirani Sana
Mama mtoto wa huyu jamaa ni muajiriwa na huyu jamaa angu ni mpiga mishe Tu wa town bado mambo yake hayajasettle anapata hela ya kula na kulipa bills za maji umeme na kodi ya chumba ingawa hiyo pesa nayo anaipata Kwa kuunga unga sana hivyo inakua ngumu kumuhudumia mtoto ipasavyo na mamake
Sasa inshu ipo hivi jamaa alipigiwa simu na huyo mama mtoto wake na kumwambia aache kazi anayoifanya arudi Kwa mke wake akakae Tu coz mwanamke anaona hakuna hela inayopatikana
Sasa anataka arudi akakae Tu home jamaa bado anawaza aache kazi then akalelewe Tu na mama mtoto wake ,huku aliko anapata hela japo kidogo Sana lakini hasumbuani na mtu kuomba omba hata vocha sasa je akiacha hii kazi inayomwingizia kidogo na kwenda kukaa jobless na kumtegemea mwanamke Kwa kila kitu itakuaje
Ebu tumshauri huyu jamaa
Upo sahihi mkuu tena hata mil3 nyingi.Business zipo kibao tena mtaji wa laki5 tu anaweza ingiza kilasiku sichini ya 20000mimi naamini huyo rafiki yako ni wewe mwenyewe, ila chakufanya huwezi kabisa hata kupata milion tatu ukafanya biashara maana kwa maisha ya sasa usiwekeze fikra kwenye kuajiriwa sana. ila huyo baby wako nae anakupenda ndio maana anakuonea huruma