Habari za muda huu Wana JF
Leo katika kukaazangu bila ya kazi nikamua bana kumcheki mpenzi wangu nakumuelezea Hali ya afya yangu ili kumpima atanichukuliaje?
Chatting zikawa kama hivi:
Mimi-Maishayangu siyaelewi wangu
Binti-kivipi mbona bila Salam
Mimi- Haina hata haja ya Salam cjui ntaishi muda gan
Binti-Mhhh kwann unasema hivyo
Mimi-Hali ya afya yangu sionzuri tuu nasjui nimetolea wapi huu ugonjwa
Binti- ugonjwa Gani??
Mimi- Acha tuu sijui nikuambiaje
Binti- ebu niambie tuu unaumwa nn maana sielew
Mimi- Nivigum ila kunadawa nilipewa nizitumie Kila siku
Binti- ukimwi?? Au??
Mimi- Ndio wanguu bt cjui nmetolea wap nasijawah kukucht nanlichek kabla cjawah na ww
Binti- Usiwazee mbona watu wanaishi nao tuu nahamna shida nikuzingatia tuu dawa nakumwomba mungu.
Mimi- utaweza kuendelea kuishi na Mimi
Binti-wewe ndiofaraja yangu nakupenda sana watu wanaishi hivyo nawananzisha familia
Mimi- Owk naomba nipumzike akili yangu haipo apa
Binti- Usikate tamaa nausiumize kichwa
Mimi-Bt vp wewe mwisho wa kumpima nilini
Binti-mwaka uliopita nankawa fresh
Mimi- 😭😭😭😭
Dahhh wakuu Hawa madem waskuizi wanaogopa tuu mimbaa nasio Ukimwii huwezi amini nimemuigizia lakini haogopi chochotee anajibu kwa ujasiri tuu😂😂
Leo katika kukaazangu bila ya kazi nikamua bana kumcheki mpenzi wangu nakumuelezea Hali ya afya yangu ili kumpima atanichukuliaje?
Chatting zikawa kama hivi:
Mimi-Maishayangu siyaelewi wangu
Binti-kivipi mbona bila Salam
Mimi- Haina hata haja ya Salam cjui ntaishi muda gan
Binti-Mhhh kwann unasema hivyo
Mimi-Hali ya afya yangu sionzuri tuu nasjui nimetolea wapi huu ugonjwa
Binti- ugonjwa Gani??
Mimi- Acha tuu sijui nikuambiaje
Binti- ebu niambie tuu unaumwa nn maana sielew
Mimi- Nivigum ila kunadawa nilipewa nizitumie Kila siku
Binti- ukimwi?? Au??
Mimi- Ndio wanguu bt cjui nmetolea wap nasijawah kukucht nanlichek kabla cjawah na ww
Binti- Usiwazee mbona watu wanaishi nao tuu nahamna shida nikuzingatia tuu dawa nakumwomba mungu.
Mimi- utaweza kuendelea kuishi na Mimi
Binti-wewe ndiofaraja yangu nakupenda sana watu wanaishi hivyo nawananzisha familia
Mimi- Owk naomba nipumzike akili yangu haipo apa
Binti- Usikate tamaa nausiumize kichwa
Mimi-Bt vp wewe mwisho wa kumpima nilini
Binti-mwaka uliopita nankawa fresh
Mimi- 😭😭😭😭
Dahhh wakuu Hawa madem waskuizi wanaogopa tuu mimbaa nasio Ukimwii huwezi amini nimemuigizia lakini haogopi chochotee anajibu kwa ujasiri tuu😂😂