TUKUMBUSHANE KIPIGO CHA REFA ISRAEL MKONGO VS STEPHEN MWASIKA(AZAM VS YANGA) KILA JAMBO LINAMWISHOOOOO

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
57,258
31,527
Ilikuwa inaitwa Vodacom LGE enzi hizo kama haujazaliwa google

Mechi n Azam vs YANGA

REfa Israel MKONGO alionyesha wazi kuipendelea Azam fc

Kijana wangu Stephen mwasika akiwa katika ya wachezaji alimrukia Refa akampa ndonga ya maana

Refa akashtuka akahamaki alienipiga katokea wapi kumbe alitoka KATIKATI ya wachezaji kuhamaki

Yuleyule anamkimbilia hahahaa...

.refaaa alianzaa resiii kama Yuko kili marathon Moshi mwenzie kuona shida nae akamwita mwenzie tuanze haapeleweki hapoo

Hatuhamasishi wachezaji kupiga Refa nawakumbusha tu Hawa wachezaji mnaowafanyia maovu wengine huwa hawana moyo WA uvumilivu

Stephen masika aliamua kujilipua na alimchapa vizuri tu Israel M

Na Toka HAPO ma Refa wakianza kuchezesha kwa ustadi mechi za YANGA

Haitoshi wengi wakichexesha YANGA walikuwa wanaangalia dk za mwisho wako maeneo ya usalama kukimbilia usalama wao


Nawakumbusha marefaa wetu MNAOENDELEA kutia AIBU mechi za Simba haya mamboo Yana mwisho

Yana kikomooo....siku watakutana na Stephen WA sasa watajuta

Mrudi mkakae MJIPANGE hio tar 8 mnafanyaje else loh hao wachezaji waangalien kwa jicho la pili....kufanya MAAMUZI magumu la kawaida kabisa

Na msisahau tutakuwa mfungo HATUTAKI maudhi kabisaaa
 

Attachments

  • IMG_5354.jpeg
    IMG_5354.jpeg
    54.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153918.jpg
    Screenshot_20250220-153918.jpg
    383.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153922.jpg
    Screenshot_20250220-153922.jpg
    363.2 KB · Views: 1
  • hqdefault.jpg
    hqdefault.jpg
    17.6 KB · Views: 1
  • kimeo.jpg
    kimeo.jpg
    25.6 KB · Views: 1
  • images.jpeg
    images.jpeg
    12.8 KB · Views: 1
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    11.6 KB · Views: 1
Mkaee vizuri na Yesu haya mambo yasiwatokeeee
 

Attachments

  • Screenshot_20250220-153645.jpg
    Screenshot_20250220-153645.jpg
    310.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153642.jpg
    Screenshot_20250220-153642.jpg
    298.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153641.jpg
    Screenshot_20250220-153641.jpg
    315.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153639.jpg
    Screenshot_20250220-153639.jpg
    293.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153638.jpg
    Screenshot_20250220-153638.jpg
    297.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153636.jpg
    Screenshot_20250220-153636.jpg
    272.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153635.jpg
    Screenshot_20250220-153635.jpg
    291.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153647.jpg
    Screenshot_20250220-153647.jpg
    315.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153650.jpg
    Screenshot_20250220-153650.jpg
    318.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153656.jpg
    Screenshot_20250220-153656.jpg
    330.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250220-153653.jpg
    Screenshot_20250220-153653.jpg
    316.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250220-153702.jpg
    Screenshot_20250220-153702.jpg
    351.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153717.jpg
    Screenshot_20250220-153717.jpg
    308.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153720.jpg
    Screenshot_20250220-153720.jpg
    298.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153750.jpg
    Screenshot_20250220-153750.jpg
    286.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153911.jpg
    Screenshot_20250220-153911.jpg
    262.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250220-153633.jpg
    Screenshot_20250220-153633.jpg
    327.8 KB · Views: 1
Dj type wimboooo

Watabaki wanashangaaa wanashangaa

Wataulizana imekuwajeee watabaki wakiulizana
 
Jifunze kuandika kwa mpangilio mzuri na sahihi kabla ya kuwasilisha hoja zako.
 
Ilikuwa inaitwa Vodacom LGE enzi hizo kama haujazaliwa google

Mechi n Azam vs YANGA

REfa Israel MKONGO alionyesha wazi kuipendelea Azam fc

Kijana wangu Stephen mwasika akiwa katika ya wachezaji alimrukia Refa akampa ndonga ya maana

Refa akashtuka akahamaki alienipiga katokea wapi kumbe alitoka KATIKATI ya wachezaji kuhamaki

Yuleyule anamkimbilia hahahaa...

.refaaa alianzaa resiii kama Yuko kili marathon Moshi mwenzie kuona shida nae akamwita mwenzie tuanze haapeleweki hapoo

Hatuhamasishi wachezaji kupiga Refa nawakumbusha tu Hawa wachezaji mnaowafanyia maovu wengine huwa hawana moyo WA uvumilivu

Stephen masika aliamua kujilipua na alimchapa vizuri tu Israel M

Na Toka HAPO ma Refa wakianza kuchezesha kwa ustadi mechi za YANGA

Haitoshi wengi wakichexesha YANGA walikuwa wanaangalia dk za mwisho wako maeneo ya usalama kukimbilia usalama wao


Nawakumbusha marefaa wetu MNAOENDELEA kutia AIBU mechi za Simba haya mamboo Yana mwisho

Yana kikomooo....siku watakutana na Stephen WA sasa watajuta

Mrudi mkakae MJIPANGE hio tar 8 mnafanyaje else loh hao wachezaji waangalien kwa jicho la pili....kufanya MAAMUZI magumu la kawaida kabisa

Na msisahau tutakuwa mfungo HATUTAKI maudhi kabisaaa
Hii ndiyo dawa sasa🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom