Trump karudi X, avunja rekodi ya kupata wasikilizaji wengi kwenye space, Kamala alaani ni uchcochezi, Wadukuzi walijaribu kuharibu interview.

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,632
6,366
1723557563200.png


1723557620048.png


Trump aliwahi kufungiwa kwenye mtandao wa X kipindi ukiwa unaitwa Twitter, Akaanizisha platform yake inayoitwa Truth kwasababu kwa kipindi hicho mtandao wa Twitter ulianza kuegemea zaidi maono ya Democrats, Hivyp watu wengi wenye sera za Republicans walipigwa BAN akiwemo Trump.

Baada ya Elon Musk kuinunua Twitter na kuiita X, Hali imebadilika, kuna uhuru wa kutoa maoni kwa pande zote Democrats na Republicans, Trump kajiridhisha na kuamua rasmi kurudi kwenye mtandao huo,

Siku ya Jana Trump alirudi rasmi kwenye mtandao huo kwa kuweka posts kadha zilizopata watazamaji wengi sana, Usiku wa kuamkia Leo, kulikuwa na interview ya Trump akihojiwa na Elon Musk.'

Kurudi kwa Trump kwenye tandao huu kumewachukiza sana Democtrats hasa vyombo vya habari kama CNN na timu nzima ya kampeni ya Kamala Harris, Walifanya jaribio la kutaka kuingilia mifumo, kwa dakika kadhaa za mwnzo space ilikuwa haipatikani, licha ya hivyo watu wengi hawakukata tamaa waliendelea kusubiri mitambo irekebishwe.

Mitambo ilipokaa sawa ni jumla ya watu milioni 1.3 walikuwa wanasikiliza interview.

Hadi sasa jumla ya watu waliosikiliza live interviewa na wanaoendelea kusikiliza nakala ya interview ni watu milioni 23 na hata siku haijaisha, walioview post ni milioni 167M, Ni rekodi kubwa sana.

1723555164398.png


Timu ya kampeni ya Kamala Harris imelaani hatua hio na kukemea ni uchochezi (Hate speech) na kuvunja demokrasia kwakuwa Trump yupo kinyume na mipango yao ikiwemo kuzuia wanaume waliobadili jinsia kutoshiriki michezo ya wanawake, Kuzibana shule zinazoshawishi watoto kubadili jinsia, kufunga mipaka na kuwarudisha maharamia zaidi ya milioni 20 walioingia bila vibali awamu ya Biden na Harris, n.k.

mara ya mwisho Trump alifungiwa kwenye mtandao huo wamiliki wakiwa ni wenye mrengo wa chama cha Democrats.

1723555372185.png
 
Naona trump amestuka ile platform yake pekee haiwezi kupush ipasavyo
 
Naona trump amestuka ile platform yake pekee haiwezi kupush ipasavyo
Trump alianzisha platform yake kwasababu twitter kabla haijanunuliwa na Elon Musk ilikuwa mikononi mwa Democrats, vitu vingi vikiwa kinyume na sera zao wana label ni hate speech / uchochezi na hata kuban kabisa.

Elon kainunua Twitter, kwa sasa kuna free speech, Na hata Kamala Harris kaalikwa kufanya interview....Neutral ground
 
Trump alianzisha platform yake kwasababu twitter kabla haijanunuliwa na Elon Musk ilikuwa mikononi mwa Democrats, vitu vingi vikiwa kinyume na sera zao wana label ni hate speech / uchochezi na hata kuban kabisa.

Elon kainunua Twitter, kwa sasa kuna free speech, Na hata Kamala Harris kaalikwa kufanya interview....Neutral ground
Walipo lift ban yake hakurudi, karudi leo kwenye interview
 
Walipo lift ban yake hakurudi, karudi leo kwenye interview
Ni kweli Elon alipoinunua Twitter aliondoa Ban ya Trump lakini Trump hakurudi, alikuwa anatathmini kama Elon ataweza kumudu michezo michafu ya kisiasa ya kumlazimisha kubana maoni.

Baada ya Trump kuona Elon hayumbishwi kaamua rasmi kurudi.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ni kweli Elon alipoinunua Twitter aliondoa Ban ya Trump lakini Trump alikuwa anazidi kutathmini kama ni kweli kuna uhuru wa maoni, Baada ya kujiridhisha kaamua rasmi kurudi.
Tuushukuru uchaguzi🤣
 
Hapo uchague ubaguzi wa rangi wa Trump au mambo ya kishoga ya Kamala, tabu tupu.
 
Back
Top Bottom