Barbarosa JF-Expert Member Apr 16, 2015 22,584 27,817 Jan 25, 2017 #1 Jamaa Trevor alifikiri Trump ni kama Wanasiasa wengine ambao husema na kuahidi lkn hushindwa kutekeleza, sasa nafikiri ameshangaa mwenyewe kwa maana Trump yote aliyoyaahidi ndiyo anayafanya!
Jamaa Trevor alifikiri Trump ni kama Wanasiasa wengine ambao husema na kuahidi lkn hushindwa kutekeleza, sasa nafikiri ameshangaa mwenyewe kwa maana Trump yote aliyoyaahidi ndiyo anayafanya!
Michael Chairman JF-Expert Member Apr 11, 2015 922 586 Jan 26, 2017 #2 jembe ulaya hilo heko [HASHTAG]#realDONALDTRUMP[/HASHTAG]
evansGREATDeal JF-Expert Member Jan 4, 2016 4,013 2,333 Jan 26, 2017 #3 Trump anatimiza matakwa ya wamarekani... Wamarekani ndo hawawataki waamiaji na islams...sio trump... Ila pia Obama aliiaribu sana USA
Trump anatimiza matakwa ya wamarekani... Wamarekani ndo hawawataki waamiaji na islams...sio trump... Ila pia Obama aliiaribu sana USA
Songambele JF-Expert Member Nov 20, 2007 4,710 2,587 Jan 26, 2017 #4 Michael Chairman said: jembe ulaya hilo heko [HASHTAG]#realDONALDTRUMP[/HASHTAG] Click to expand... Hana shobo lakini we shoboka tu!
Michael Chairman said: jembe ulaya hilo heko [HASHTAG]#realDONALDTRUMP[/HASHTAG] Click to expand... Hana shobo lakini we shoboka tu!
Michael Chairman JF-Expert Member Apr 11, 2015 922 586 Jan 26, 2017 #5 Songambele said: Hana shobo lakini we shoboka tu! Click to expand... nishoboke nini miafrika ndivyo tulivyo hapa eti limeona wivu wa kijinga
Songambele said: Hana shobo lakini we shoboka tu! Click to expand... nishoboke nini miafrika ndivyo tulivyo hapa eti limeona wivu wa kijinga