Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,326
- 152,138
Huyo sio rahisi kununua hilo gazeti.Hata ya kununua gazeti umekosa!!!!! eeeeeh
Mwakyembe oyeeeeeeeee
Kitu chochote kikiuzwa na TRA, maana yake unadaiwa kodi ya ushuru wa forodha.Hii ni habari katika ukurasa wa mbele wa gazeti la Uhuru la siku ya leo.
Binafsi sijasoma hilo gazeti bali nimeona hiyo heading hivyo sijui kama magari hayo yako bandarini na wahusika wameshindwa kuyakomboa au ni ni magari ya biashara mimi sielewi.
Swali:All in all,hali hii tafsiri yake ni nini?
Gazette lenyewe pravda? Who needs it?Hata ya kununua gazeti umekosa!!!!! eeeeeh
Mwakyembe oyeeeeeeeee
Mkuu,asante kwa taarifa hii.Kitu chochote kikiuzwa na TRA, maana yake unadaiwa kodi ya ushuru wa forodha.
Hii maana yake watu waliagiza magari, lakini wakashindwa kuyalipia ushuru.
Angalia list kwenye link hapo chini, utashuhudia mengi ya magari hayo ni ya makampuni ya magari ambayo zamani walizoea kukwepa kodi!. Magari yalikuwa yakitolewa na kuhifadhiwa kwenye ICDs or Bonded Customs Warehouses , kisha watu hucheza dili na TRA kukwepa ushuru. Lakini sasa wameamua hakuna mizigo kwenda ICDS hadi Bandarini pajae, hivyo hizo gari zimeshindwa kuondolewa kimchoro mchoro.
Ila pia kuna magari ya watu ambao wameagiza na walidhamiria kuyalipia ushuru genuinely lakini kufuatia mdororo wa uchumi, na hii hali ya ukata wa magufulision, hivyo magari yamewasili, watu wakajikuta hawana pesa za kuyakomboa.
Tangazo rasmi ni hili na list iko kwenye link.
Paskali
CUSTOMS AND EXCISE DEPARTMENT
This is to notify the general public that the under listed goods will be sold by public auction or disposed of in a manner the Commissioner for Customs and Excise may deem fit if they remain un-cleared from the Customs area within thirty (30) days from the date of this notice.
The Auction Sales will be conducted at MISUGUSUGU, LW9, AFRICAN ICD, JEFAG, ECLS ICD, SHINYANGA and ZANZIBAR from 10:00 am on the dates and places as shown below:-
The goods may be viewed by the public during working hours two days before the day of the auction. For more details please visit our website www.tra.go.tz.
- Monday the 05th June, 2017 – LW9, MISUGUSUGU, SHINYANGA, ZANZIBAR, DIAMOND MOTORS, NOBLE MOTORS, AFRICARRIERS and CHICASA.
- Thursday the 08th June, 2017 – ECLS ICD, CARVIEW JAPAN, AUTO-SUECO, QUALITY MOTORS, ALLIANCE AUTOS, TANZANIA 4 BY 4, HARAB MOTORS and TAHIR TRADING.
- Monday the 12nd June, 2017 THE LAND LTD, MANTRACK, DAR MART, CHATHA MOTORS, NDEGE ADVOCATES AND JEFAG and MUTESIGWA KATULANDA.
CONDITIONS OF SALE
- Successful bidders will be required to pay 25% of the purchase price on the spot. The remaining 75% must be paid within 48 hours after the auction sale;
- Any person who makes the highest bid and fails to pay the mandatory 25% of the purchase price on the spot will be charged for the interference with the auction process with malicious intension and stern legal measures will be taken against such person;
- Goods will be sold in lots of full consignments; and
- Goods shall be withdrawn from the auction upon full payment of the respective duties and taxes.
Qamdiyay Akonaay
Ag. COMMISSIONER FOR CUSTOMS AND EXCISE
List of overstayed goods to be auctioned
Hii nchi ya viwanda itaua watu.Kitu chochote kikiuzwa na TRA, maana yake unadaiwa kodi ya ushuru wa forodha.
Hii maana yake watu waliagiza magari, lakini wakashindwa kuyalipia ushuru.
Angalia list kwenye link hapo chini, utashuhudia mengi ya magari hayo ni ya makampuni ya magari ambayo zamani walizoea kukwepa kodi!. Magari yalikuwa yakitolewa na kuhifadhiwa kwenye ICDs or Bonded Customs Warehouses , kisha watu hucheza dili na TRA kukwepa ushuru. Lakini sasa wameamua hakuna mizigo kwenda ICDS hadi Bandarini pajae, hivyo hizo gari zimeshindwa kuondolewa kimchoro mchoro.
Ila pia kuna magari ya watu ambao wameagiza na walidhamiria kuyalipia ushuru genuinely lakini kufuatia mdororo wa uchumi, na hii hali ya ukata wa magufulision, hivyo magari yamewasili, watu wakajikuta hawana pesa za kuyakomboa.
Tangazo rasmi ni hili na list iko kwenye link.
Paskali
CUSTOMS AND EXCISE DEPARTMENT
This is to notify the general public that the under listed goods will be sold by public auction or disposed of in a manner the Commissioner for Customs and Excise may deem fit if they remain un-cleared from the Customs area within thirty (30) days from the date of this notice.
The Auction Sales will be conducted at MISUGUSUGU, LW9, AFRICAN ICD, JEFAG, ECLS ICD, SHINYANGA and ZANZIBAR from 10:00 am on the dates and places as shown below:-
The goods may be viewed by the public during working hours two days before the day of the auction. For more details please visit our website www.tra.go.tz.
- Monday the 05th June, 2017 – LW9, MISUGUSUGU, SHINYANGA, ZANZIBAR, DIAMOND MOTORS, NOBLE MOTORS, AFRICARRIERS and CHICASA.
- Thursday the 08th June, 2017 – ECLS ICD, CARVIEW JAPAN, AUTO-SUECO, QUALITY MOTORS, ALLIANCE AUTOS, TANZANIA 4 BY 4, HARAB MOTORS and TAHIR TRADING.
- Monday the 12nd June, 2017 THE LAND LTD, MANTRACK, DAR MART, CHATHA MOTORS, NDEGE ADVOCATES AND JEFAG and MUTESIGWA KATULANDA.
CONDITIONS OF SALE
- Successful bidders will be required to pay 25% of the purchase price on the spot. The remaining 75% must be paid within 48 hours after the auction sale;
- Any person who makes the highest bid and fails to pay the mandatory 25% of the purchase price on the spot will be charged for the interference with the auction process with malicious intension and stern legal measures will be taken against such person;
- Goods will be sold in lots of full consignments; and
- Goods shall be withdrawn from the auction upon full payment of the respective duties and taxes.
Qamdiyay Akonaay
Ag. COMMISSIONER FOR CUSTOMS AND EXCISE
List of overstayed goods to be auctioned