Ndugu zangu habari.
Baada ya baadhi ya shughuli zangu kwenda mrama nimeamua kufanya kazi ya taxi mtandaoni maarufu uber.
Sasa nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri kutokana na gari nitakalotumia. Gari langu ni toyota porte, namba DX cc 1490. Hii gari huwa naitumia kwa shughuli za hapa mjini na bado ipo vzr engine na hata body japo ina mikwazuzo ya kawaida.
Lengo langu la kwanza ni ndani ya mwaka hii gari ilete gari nyingine ambayo itakua na body ngumu zaidi ya hii. Sasa jamani kwa wazoefu naomba ushauri hizi gari zinahimili mikiki mikiki ya hizi kazi?
Baada ya baadhi ya shughuli zangu kwenda mrama nimeamua kufanya kazi ya taxi mtandaoni maarufu uber.
Sasa nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri kutokana na gari nitakalotumia. Gari langu ni toyota porte, namba DX cc 1490. Hii gari huwa naitumia kwa shughuli za hapa mjini na bado ipo vzr engine na hata body japo ina mikwazuzo ya kawaida.
Lengo langu la kwanza ni ndani ya mwaka hii gari ilete gari nyingine ambayo itakua na body ngumu zaidi ya hii. Sasa jamani kwa wazoefu naomba ushauri hizi gari zinahimili mikiki mikiki ya hizi kazi?