Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 441
- 947
Ukienda kutazama tovuti za Baadhi ya wilaya nchini Tanzania utakuta taarifa za mwaka 2022, jambo ambalo linakatisha tamaa na kutoa taswira mbaya kwa halimashauru husika inawezekanaje mwaka 2025 unakutana na taarifa za mwaka 2022 hiyo inaonesha kuwa wasimamizi wa hizo tovuti hawatendi haki wala kuwajibika juu ya majukumu yao amabyo wamepangiwa
Mfano ukifanya upimaji wa kutembelea baadhi ya tovuti za halmashauri hazina taarifa mpya bali utakutana na taarifa za miaka ya nyuma hivyo kuzorotesha uhuru wa wananchi juu ufuatiliaji wa mambo yanayo endelea ndani ya halimashauri husika
Katika upande mwingine Taarifa au mawasiliano ya simu ambayo huchapishwa kwenye Tovuti za serikali hasa halimashauri nyingi hazipatikani hivyo wananchi hawana uwanda mpana wa kutoa taarifa endapo kutakuwa na changamoto katika eneo husika .Tunaomba serikali kuanza kuweka namba zinazopatikana kwenye tovuti ili kuwezesha wananchi na jamii husika kuwasilisha changamoto zinazo wakumbuka .
Je serikali ina mpango gani kuhusiana na kile ambacho kinaonekana katika tovuti za wilaya kushindwa kuakisi matarajio ya wananchi
Mfano ukifanya upimaji wa kutembelea baadhi ya tovuti za halmashauri hazina taarifa mpya bali utakutana na taarifa za miaka ya nyuma hivyo kuzorotesha uhuru wa wananchi juu ufuatiliaji wa mambo yanayo endelea ndani ya halimashauri husika
Katika upande mwingine Taarifa au mawasiliano ya simu ambayo huchapishwa kwenye Tovuti za serikali hasa halimashauri nyingi hazipatikani hivyo wananchi hawana uwanda mpana wa kutoa taarifa endapo kutakuwa na changamoto katika eneo husika .Tunaomba serikali kuanza kuweka namba zinazopatikana kwenye tovuti ili kuwezesha wananchi na jamii husika kuwasilisha changamoto zinazo wakumbuka .
Je serikali ina mpango gani kuhusiana na kile ambacho kinaonekana katika tovuti za wilaya kushindwa kuakisi matarajio ya wananchi