Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,074
- 23,703
Preamble: Binafsi naamini Free market na Competition ndio inaleta Huduma Bora na Bei rahisi kutokana na kwamba watu wanashindana kugombania wateja. Ingawa kuna mambo ya Huduma naamini kabisa Serikali / State ni muhimu kujikita kinagaubaga.., Mengine yote luxurious hatuna haja ya kuweka Kodi zetu huko tuachie watu binafsi 100 percent (wala hatuna haja ya PPPs tunaweza kuwakodisha infrastructure)
From Self Reliance to Total Dependency
Ila imetokea Kasumba moja kwamba Waafrika / Raia hawawezi. Nikichukulia Case Study ya Kenya na Management ya Airport yao (Jambo ambalo ingawa wanapiga kelele litapita) Adani atapewa na ukiuliza kwanini wasifanye wenyewe utajibiwa hawawezi..., Sasa Adani amewezaje ? (Hii Kampuni ambayo ipo linked na Prime Minister wa India) iliweza kupewa kuendesha Airport Sita za India (Bila experience yoyote). Yaani waliondoa Kipengele cha Previous Experience required na Adani akapewa.... Anazo contracts za kuendesha Airport Saba nyingine kwa mpaka miaka 50....; Sasa kama Adani ameweza tena bila kuwa na Prior Experience sisi tunashindwa vipi ? Badala ya kumpa mtu the whole nine yards kwanini tusitoe lease fupi fupi kwa vitu tofauti ? Mfano Maduka, Hotels, n.k. kwa Wato tofauti in open transparent tenders ?
Kumbuka kulikuwa na levy ambayo ilikuwa inakusanywa kwenye kile Ticket na huduma za pale Airport kwa miaka mingi sana ili mwisho wa siku Airport iweze kupanuliwa sasa hizo pesa zilizokusanywa huenda ikawa zawadi ya Ajaye Kufanya, Eti sababu sisi Hatuwezi...
Case Study ya TTCL: Sio mbaya kipindi hiki ambacho mawasiliano ni muhimu sana kuwepo na hata Kampuni moja ya UMMA ikishindana na Kampuni nyingine binafsi, ili hata wakitaka kufanya cartels na kupandisha bei Kampuni ya UMMA itajitahidi kuwa kimbilio la watu (affordability) lakini utasikia watu wanasema uza yote UMMA hauwezi.., sasa unajiuliza mbona HALOTEL imetokea huko Vietnam na kufika mpaka huku ? Kwanini TTCL isitumie Economic Power yake iweze kuvuka bahari na kufika nje ?
Samsung Case Study: Hii Samsung inayopeperusha bendera kila mahali ingawa ni Private ila ina government backing, iliweza kupewa Tender zote kubwa na serikali na kwa upendeleo ndio maana ikaweza kukua, ni kwamba imeweza kuchanja mbuga kutokana na government backing..., Ndio hivyo hivyo kwa Adani na kupewa Upendeleo na Prime Minister na kupewa Tender za Airports kuendesha without even Prior Experience
NBC Case Study: Hii Benki tuliibinafsisha kitambo sana na mpaka sasa tuna kama 30 percent pekee.., sasa cha kujiuliza miaka yote hiyo tumebinafsisha lakini mpaka leo haina hata Tawi lolote nje ya nchi na hata ndani ya nchi ni Benki ya Tatu yaani inazidiwa na NMB na CRDB
In the World of Automation and Technology (Blockchain ) We do not Need Manpower / Expertise as Before
Dunia ya Sasa ya Teknolojia ambapo ufuatiliaji umekuwa rahisi kusema kwamba tunashindwa kusimamia kitu ni kujitoa ufahamu au kama hatuwezi nadhani kulikuwa hakuna haja ya kuondoa Ukoloni.., Na kama kweli hatuwezi kwanini tusiajiri experts na kuwapa goals ili wafanye na tuwalipe
Way Forward:
Lazima tuwe na Stake kwenye Commanding Height of the Country Economy Hususan Sehemu za Huduma au zile ambazo ni Natural Monopolies (Nishati), Usafiri, Mawasiliano, Banking na vyote hivi vifanyike kwenye Open Market..... Na cha kujiuliza ni Kwanini Hatuwezi..., Sio sababu hatuwezi tunamuita Jirani aje afanye..., Inabidi tuweze ili sisi ndio twende tukawafanyie Majirani....
From Self Reliance to Total Dependency
Ila imetokea Kasumba moja kwamba Waafrika / Raia hawawezi. Nikichukulia Case Study ya Kenya na Management ya Airport yao (Jambo ambalo ingawa wanapiga kelele litapita) Adani atapewa na ukiuliza kwanini wasifanye wenyewe utajibiwa hawawezi..., Sasa Adani amewezaje ? (Hii Kampuni ambayo ipo linked na Prime Minister wa India) iliweza kupewa kuendesha Airport Sita za India (Bila experience yoyote). Yaani waliondoa Kipengele cha Previous Experience required na Adani akapewa.... Anazo contracts za kuendesha Airport Saba nyingine kwa mpaka miaka 50....; Sasa kama Adani ameweza tena bila kuwa na Prior Experience sisi tunashindwa vipi ? Badala ya kumpa mtu the whole nine yards kwanini tusitoe lease fupi fupi kwa vitu tofauti ? Mfano Maduka, Hotels, n.k. kwa Wato tofauti in open transparent tenders ?
Kumbuka kulikuwa na levy ambayo ilikuwa inakusanywa kwenye kile Ticket na huduma za pale Airport kwa miaka mingi sana ili mwisho wa siku Airport iweze kupanuliwa sasa hizo pesa zilizokusanywa huenda ikawa zawadi ya Ajaye Kufanya, Eti sababu sisi Hatuwezi...
Case Study ya TTCL: Sio mbaya kipindi hiki ambacho mawasiliano ni muhimu sana kuwepo na hata Kampuni moja ya UMMA ikishindana na Kampuni nyingine binafsi, ili hata wakitaka kufanya cartels na kupandisha bei Kampuni ya UMMA itajitahidi kuwa kimbilio la watu (affordability) lakini utasikia watu wanasema uza yote UMMA hauwezi.., sasa unajiuliza mbona HALOTEL imetokea huko Vietnam na kufika mpaka huku ? Kwanini TTCL isitumie Economic Power yake iweze kuvuka bahari na kufika nje ?
Samsung Case Study: Hii Samsung inayopeperusha bendera kila mahali ingawa ni Private ila ina government backing, iliweza kupewa Tender zote kubwa na serikali na kwa upendeleo ndio maana ikaweza kukua, ni kwamba imeweza kuchanja mbuga kutokana na government backing..., Ndio hivyo hivyo kwa Adani na kupewa Upendeleo na Prime Minister na kupewa Tender za Airports kuendesha without even Prior Experience
NBC Case Study: Hii Benki tuliibinafsisha kitambo sana na mpaka sasa tuna kama 30 percent pekee.., sasa cha kujiuliza miaka yote hiyo tumebinafsisha lakini mpaka leo haina hata Tawi lolote nje ya nchi na hata ndani ya nchi ni Benki ya Tatu yaani inazidiwa na NMB na CRDB
In the World of Automation and Technology (Blockchain ) We do not Need Manpower / Expertise as Before
Dunia ya Sasa ya Teknolojia ambapo ufuatiliaji umekuwa rahisi kusema kwamba tunashindwa kusimamia kitu ni kujitoa ufahamu au kama hatuwezi nadhani kulikuwa hakuna haja ya kuondoa Ukoloni.., Na kama kweli hatuwezi kwanini tusiajiri experts na kuwapa goals ili wafanye na tuwalipe
Way Forward:
Lazima tuwe na Stake kwenye Commanding Height of the Country Economy Hususan Sehemu za Huduma au zile ambazo ni Natural Monopolies (Nishati), Usafiri, Mawasiliano, Banking na vyote hivi vifanyike kwenye Open Market..... Na cha kujiuliza ni Kwanini Hatuwezi..., Sio sababu hatuwezi tunamuita Jirani aje afanye..., Inabidi tuweze ili sisi ndio twende tukawafanyie Majirani....