Timua timua ya Trump, mjifunze mkienda nje mjenge kwenu, tengenezeni kwenu hamuishi mileleee huko

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
57,258
31,532
Kwa wale mnaopanga kwenda kuzamia Marekani na nchi nyingine,

Nitoe shukrani zangu kwa Mwana wa Mungu Trump, aliyeletwa kufungua macho ya watu. Naomba niwajuze, mkiwa mnapambana huko Mungu awafungue, muliamshe jiji lenu na mfanye maendeleo nchini mkiwa hukooo.

Kamata kamata ya Rais haijaja bahati mbaya. Leo hii, Watanzania walioko nje ukiwaleta ghafla, wanaweza kunywa sumu kama si Roho wa Bwana kuwapa tumaini la milele.

Na hii ni kwa kujisahau, ukidhani unaishia huko milele. Leo nimeona sehemu Wanaigeria wanakaribia kujaza ndege wakirejeshwa kwao.

Wakati wa Mungu ulio sahihi, hata kama uko kihalali, fanya hima uwekeze nyumbani. Fanyeni maendeleo nyumbani kwenu… kuna kesho!

Hujui kesho yako.

Na wale wanaoenda kufanya kazi kwa muda, amkeni na fanyeni hima muwekeze nchini kwenu.

Nawatakia kila la kheri wote mnaoishi kihalali na wasiokuwa kihalali nje ya nchi. Mungu akawape macho ya rohoni kuwajuza nilichowashauri.

Otherwise, wale ambao mtafanikiwa kurudi na ndege ya Hon. Trump, nawatakia safari njema pia.
 
Kwa wale mnaopanga KWENDA kuzamia Marekani na nchi nyingine

Nitoe shukran ZANGU kwa Mwana WA Mungu Trump alieletwa kufungua watu macho yaooooo

Naomba niwajuze tu MKIWA mnapambana huko Mungu awafungue muliamshe jiji LENU mfanye maendeleoo nchini MKIWA hukoooooo

Kamata kamata ya MH Presd haijaja bahati mbaya..waooo Leo hii watanzania walioko Nje ukiwaleta gafla wanaweza kunywa sumu kama sio Roho WA Bwana kuwapa tumaini la milele

Na hii n kujisahau kujua unaishia huko milele...Leo hii nimeona SEHEMU wanaigeria wanakaribia kujaza ndege wapelekwe kwaooo

Wakati WA Mungu ulio sahihi HATA kama uko kihalali Fanya hima wekeza nyumban

Fanyeni maendeleoo nyumban kwenu..KUNA kesho
HUJUI kesho yakoo

Na wale wanaenda kufanya kazi kwa mda amkenii fanyeni hima muwekeze nchini kwenu

Nawatakia kila la kheri wote mnaoishi kihalali na sio kihalali Nje ya nchi Mungu akawape macho ya Rohoni kuwajuza nilicchowashauri

Otherwise wale ambao mtafanikiwa kurudi na ndege ya Hon Trump nawatakia

Safe jny pia
Mbona nyie mliobaki huku bado hamjajengo mnajibana tu dar es salaam kwa vyumba vya kupanga.
 
Mbona nyie mliobaki huku bado hamjajengo mnajibana tu dar es salaam kwa vyumba vya kupanga.
Hii mijengo uliyoikuta huku nchini imejengwa na sisimizi?

Mfano ukirudishwa huku keshokutwa utalala vichakani au..... Kiranga ndugu yangu karibu usukumani
 
Ila maisha ni kama mapenzi tu
No formula
Hivyo usiwapangie...maana wakiharibikiwa hutowaongezea kitu na wakifanikiwa hawatokupa kitu
Jujifunze kupambana na hali zetu kwanza kabla ya kuchangamkia hali za wengine.
 
Hii mijengo uliyoikuta huku nchini imejengwa na sisimizi?

Mfano ukirudishwa huku keshokutwa utalala vichakani au..... Kiranga ndugu yangu karibu usukumani
Mijengo hiyo hiyo tangu mwaka 1985. tena nibrahisi mbongo kujenga johnesburg kuliko kujenga Mwenge au poster gharama na urasimu.
 
Kwa wale mnaopanga kwenda kuzamia Marekani na nchi nyingine,

Nitoe shukrani zangu kwa Mwana wa Mungu Trump, aliyeletwa kufungua macho ya watu. Naomba niwajuze, mkiwa mnapambana huko Mungu awafungue, muliamshe jiji lenu na mfanye maendeleo nchini mkiwa hukooo.

Kamata kamata ya Rais haijaja bahati mbaya. Leo hii, Watanzania walioko nje ukiwaleta ghafla, wanaweza kunywa sumu kama si Roho wa Bwana kuwapa tumaini la milele.

Na hii ni kwa kujisahau, ukidhani unaishia huko milele. Leo nimeona sehemu Wanaigeria wanakaribia kujaza ndege wakirejeshwa kwao.

Wakati wa Mungu ulio sahihi, hata kama uko kihalali, fanya hima uwekeze nyumbani. Fanyeni maendeleo nyumbani kwenu… kuna kesho!

Hujui kesho yako.

Na wale wanaoenda kufanya kazi kwa muda, amkeni na fanyeni hima muwekeze nchini kwenu.

Nawatakia kila la kheri wote mnaoishi kihalali na wasiokuwa kihalali nje ya nchi. Mungu akawape macho ya rohoni kuwajuza nilichowashauri.

Otherwise, wale ambao mtafanikiwa kurudi na ndege ya Hon. Trump, nawatakia safari njema pia.
Hata huku kwetu mkuu.
 
Awakosi pakulala kama hapa home kuna store ya kutunza vyakula na mkaa kuna mtu akainaswa huko na Trump hii store itamuhusu.
 
Maisha hayapangwi na mtu
Kila mmoja apambane na hali yake
Utajenga mahali unaitwa mgeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom