Kivipi mkuu.?Yaani tigopesa leo wamenipa somo tosha,
Usiweke pesa yako nyingi kwenye mitandao ya simuKivipi mkuu.?
Kweli hapo Sahihi kabisa, kama una dharura itakugharimuUsiweke pesa yako nyingi kwenye mitandao ya simu
Aibu kubwa sana !Tigo pesa wamerudisha menu ingalao unaziona lakini ukifuata maelekezo hadi kwenye kutumia pesa inazingua eti uulize huduma kwa wateja. Tigo pesa ilivyonifanya vibaya sina hamu
Tigo pesa wamerudisha menu ingalao unaziona lakini ukifuata maelekezo hadi kwenye kutumia pesa inazingua eti uulize huduma kwa wateja. Tigo pesa ilivyonifanya vibaya sina hamu
Wengine 90% tunalipwa kwa simu hamna namna lazima pesa ikae huko kabla ya kuhamishia benki.Siweki hela za matumizi kwenye huduma za xpesa maana najua ni majanga.....pesa naweka ndani ya matumizi....kwenye xpesa ni kwa ajili ya kununua umeme na vocha tu.
Don't put all your eggs in one basket.Nimeshindwa kufanya manunuzi maana pesa yote ipo kwenye Tigo pesa. Vihela vyenyewe hivi unaweka kwenye simu ili ununue umeme, bia, chakula, petrol sasa walichonifanyia leo aisee Mungu anajua tu.
Wameumiza watu wengi sana. Basi hapo watatoa MB 10 za pole!Leo wamenikwaza sanaaaa
Just few eggs man, ulianza kuzispread kwa baskets nyingi gharama inakuwa kubwa ya makato then unapata hela ndogo unawafaidisha telephone operatorDon't put all your eggs in one basket.
Kumbe tuko wengiiii☹️Leo wamenikwaza sanaaaa
Wengine 90% tunalipwa kwa simu hamna namna lazima pesa ikae huko kabla ya kuhamishia benki.
Wanatuzingua itabidi nasi tuwazingue!!!Tigo pesa wamerudisha menu ingalao unaziona lakini ukifuata maelekezo hadi kwenye kutumia pesa inazingua eti uulize huduma kwa wateja. Tigo pesa ilivyonifanya vibaya sina hamu