Tiba ya maziwa kiroho

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
4,622
11,680
Hellow wakuu mpo?

Hakuna asiyeyafahamu maziwa, kila mtu anayajua maziwa ni lishe muhimu kwa binadamu sababu yana virutibisho vyote muhimu. Yanaponya maradhi mbali mbali na kuua sumu yeyote mwilini.

Je wajua maziwa fresh yanaweza kutatua changamoto mbali mbali za kimaisha ikiwemo kusafisha mwili, kuua mikosi, kukuongezea mvuto, kukupa mme au mke umtakae na hata kuimarisha uchumi wako?

IMG_20250126_122859_415.jpg

Omoyogeane nakuletea experience na elimu adimu ambayo huwezi ipata popote

Chakufanya ni kuchukua maji ya kuoga maji baridi namaanisha yasiwe ya uvugu uvugu kisha unamimina maziwa kiasi kidogo kama hapo juu pichani,

Matumizi yake ni kuoga

Kabla ya kuoga unanuia mambo yote unayotaka kisha unaoga.
(Usiogee sabuni).

Hakuna likitation yeyote ya kuoga ukiweza unaweza ogea maziwa kila siku.

Kuna siri nzito kwenye maziwa




Nawasilisha.
 
Hellow wakuu mpo?

Hakuna asiyeyafahamu maziwa, kila mtu anayajua maziwa ni lishe muhimu kwa binadamu sababu yana virutibisho vyote muhimu. Yanaponya maradhi mbali mbali na kuua sumu yeyote mwilini.

Je wajua maziwa fresh yanaweza kutatua changamoto mbali mbali za kimaisha ikiwemo kusafisha mwili, kuua mikosi, kukuongezea mvuto, kukupa mme au mke umtakae na hata kuimarisha uchumi wako?

View attachment 3215433
Omoyogeane nakuletea experience na elimu adimu ambayo huwezi ipata popote

Chakufanya ni kuchukua maji ya kuoga maji baridi namaanisha yasiwe ya uvugu uvugu kisha unamimina maziwa kiasi kidogo kama hapo juu pichani,

Matumizi yake ni kuoga

Kabla ya kuoga unanuia mambo yote unayotaka kisha unaoga.
(Usiogee sabuni).

Hakuna likitation yeyote ya kuoga ukiweza unaweza ogea maziwa kila siku.

Kuna siri nzito kwenye maziwa




Nawasilisha.
tuogee wap mkuu!?kama umekataa bafuni
 
na kuua sumu yeyote mwilini.
Waambie na wengine. Elimu ni bahari.Najua ulikaririshwa.

Does drinking milk immediately after swallowing poison coat the stomach and prevent harm?

Milk is not a remedy or antidote for poisons, nor does it protect the stomach from an ingested chemical or toxin
. Other myths include having a person eat burned toast, raw eggs or mustard. None of these are a remedy.

 
Waambie na wengine. Elimu ni bahari.Najua ulikaririshwa.

Does drinking milk immediately after swallowing poison coat the stomach and prevent harm?

Milk is not a remedy or antidote for poisons, nor does it protect the stomach from an ingested chemical or toxin
. Other myths include having a person eat burned toast, raw eggs or mustard. None of these are a remedy.

Hapa mkuu unazungumzia chemistry

Kuna law moja ya solvents inasema

Like disolves likes

Yaani kwamba organic solvent hudisolve ktk organic matters

Na inorganic matters hudisolve ktk organic matters

Sumu nyingi ni inorganic na maziwa ni organic

Hivyo basi ukinywa sumu sionzote lakini ukanywa maziwa maziwa yatazuia absorption ya sumu kwenye bloodstream
 
Back
Top Bottom