TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,738
- 24,235
Nilimsikiliza mtoto wa baba wa Taifa ambaye ni mkuu wa mkoa wa Rukwa nadhani kuhusu huyu mzee.
Yupo na ataendelea kuwepo.
Binafsi niliwahi kuangalia sinema flani inaitwa SiSU, ile sinema kuna jamaa mle alikuwa mchimbaji wa madini ambaye inaonekana alipikwa hasa na wataalam ukizingatia kwamba issue za madini inasemekana lazima upikwe.
Hivyo yule jamaa hakuwa mtu wa kawaida ila alikuwa asiyeweza kufa kirahisi.
Leo nimemkumbuka huyu mzee Steven Wassira is't!.
Yupo na ataendelea kuwepo.
Binafsi niliwahi kuangalia sinema flani inaitwa SiSU, ile sinema kuna jamaa mle alikuwa mchimbaji wa madini ambaye inaonekana alipikwa hasa na wataalam ukizingatia kwamba issue za madini inasemekana lazima upikwe.
Hivyo yule jamaa hakuwa mtu wa kawaida ila alikuwa asiyeweza kufa kirahisi.
Leo nimemkumbuka huyu mzee Steven Wassira is't!.