Tff mnapuuzia bila kufanya uchunguzi kocha matano wa fountain gate amewafungulia njia yanga wanapanga matokeo....

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
19,962
24,135
Hatua zichukuliwe za haraka kuliokoa soka letu..jana kocha wa fountain gate kaweka kila kitu wazi kuhusu kipa wao vipi kuhusu marefa nao wenye kufumbia macho haya...ligi inapoteza heshima leo kazungumza hapa kesho anakwenda kuhojiwa bbc bado kocha atarudia kauli ile ile bila kupepesa kuhusu upuuzi wa mpira wetu...
 

Attachments

  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 1
  • tweeload_04b7e52a.mp4
    10.6 MB
Hatua zichukuliwe za haraka kuliokoa soka letu..jana kocha wa fountain gate kaweka kila kitu wazi kuhusu kipa wao vipi kuhusu marefa nao wenye kufumbia macho haya...ligi inapoteza heshima leo kazungumza hapa kesho anakwenda kuhojiwa bbc bado kocha atarudia kauli ile ile bila kupepesa kuhusu upuuzi wa mpira wetu...
Mkiongelea Kipa mwingine nitawaelewa lakini siyo John Nobble. Mwaka Jana akiwa TBR aliwazawadia Simba goli la Che Malone, mwaka huo huo akiwa na TBR aliwazawadia JKT penati alikosa Ndemla.
 
Mechi zinacheza mchana kweupe match fixing ipo wazi ndio maana mkienda kimataifa kusipo kuwepo john Noble au kayoko mnapigwa kwa mkapa mapema mnarudi kwenye biashara yenu ya kupanga matokeo!
Hayo mashindano mnayo ona mmefika mbali tumefika final vipi huko nako tulihonga? Club bingwa tumefika robo ambayo ndio mnajivunia kipya gani ambacho hakipo?
 
camara na malone washitakiwe kwenye derby camara alirudisha mpira uliotakiwa kutoka inaonekana alimpa yanga over 0.5 nae malone pale kwa constantine na bravos wote tunajua yaliyo tokea
 
Back
Top Bottom