TFF ikiruhusu baadhi ya timu kutumia uwanja wa Mkapa katika preliminary rounds itakuwa upendeleo

MwananchiOG

JF-Expert Member
Apr 4, 2023
1,356
2,788
Uwanja wa Mkapa upo katika ukarabati, jambo lililopelekea baadhi ya mechi hususan hizi mechi za hatua ya awali kutoruhusiwa kutumia uwanja wa Mkapa mpaka hatua ya makundi ambapo vilabu ndipo huruhusiwa kutumia uwanja wa mkapa. Tumeshuhudia vilabu kama Yanga na Azam vikitumia viwanja vingine. Endapo TFF itaruhusu baadhi ya yimu kuutumia uwanja huo, itakuwa jambo la aibu kwa mpira wa Tanzania.
 
Uwanja wa Mkapa upo katika ukarabati, jambo lililopelekea baadhi ya mechi hususan hizi mechi za hatua ya awali kutoruhusiwa kutumia uwanja wa Mkapa mpaka hatua ya makundi ambapo vilabu ndipo huruhusiwa kutumia uwanja wa mkapa. Tumeshuhudia vilabu kama Yanga na Azam vikitumia viwanja vingine. Endapo TFF itaruhusu baadhi ya yimu kuutumia uwanja huo, itakuwa jambo la aibu kwa mpira wa Tanzania.
Nyie Utopolo mliomna mkanywimwa.
Wenyewe mmeogapa mnajua hamtaujaza.
Yaani matumizi yatakuwa makubwa kuliko pesa ya viingilio
 
Nyie mmechagua kwenda Zanzibar , kinawauma Nini Simba akicheza kwa Mkapa . Kwanza serikali itapata mapato kupitia uwanja na Kodi.
 
Back
Top Bottom