gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,180
- 2,782
Magwiji, manguli na klabu kongwe zaidi afrika mashariki kwa kupanga matokeo Yanga a.k.a Gongowazi watakuwa uwanjani leo kucheza na tawi lao la mashujaa.
Kuna dalili zote za upangaji wa matokeo, ili kuzuia hili nawashauri TFF na BODI YA LIGI wekeni wawakilishi wenu kwaajili ya kupambana na maharamia Yanga.
Kuna dalili zote za upangaji wa matokeo, ili kuzuia hili nawashauri TFF na BODI YA LIGI wekeni wawakilishi wenu kwaajili ya kupambana na maharamia Yanga.