Kwanza naomba mapovu yanaruhusiwa na hoja zina ruhusiwa ila mniache nabii nitoe yale nayaona...
Mziki ulianza Mozambique π²πΏ na sasa Congo DRC π¨π© wanaucheza yes the dark days in Tanzania overseas intelligence....
Upo utani unasema nyani akimuona mwanamke basi kazi anayo ila akimuona mtoto wakiume hata kama ni mdogo basi nyani humkimbia yes twende na mimi....
Tanzania kwa miaka yote ni baba wa siasa za Africa π π β₯οΈ shime Mwalimu Nyerere tunakukumbuka Baba. Tanzania tumejaliwa na Taifa letu ninyumbani kwa wapigania uhuru wa Africa. Kete hii imetufanya kuwa na nguvu hata yakuweka watawala ktk nchi za Africa na huu uwezo umetuvimbisha bichwa haswaaa ila kwa wale mnasoma thread zangu mtakubaliana na mimi nimekuwa nikilia na idara zetu na kwenendo wa siasa zetu nakuona tunako enda basi kazi itakuwa ngumu.
Nakumbuka kuzitaadharisha idara za Taifa yakuwa mchwa ako kwa nyumba na paa likianguka amesha tafuna nyumba.
M23 wapo vitani na hii vita sio rahisi itakuwa ngumu kwa sababu ya conspiracy. Kagame kwa vyovyote huu ndio muda wake kumalizana na Tz wala sio nini wala nini hayati mch Mtikila aliwahi tuambia wakamalizana naye mapema kwa sasa sio siri Rwanda wanatujuwa vema Tz hata tujificheje wanajuwa siri zetu na huu ndio muda wakumalizana na sisi. Kuanguka kwa serikali ya Congo DRC nikishindo cha maumivu kwa serikali ya Tz. Natusibishane hili laweza tokea labda kama maamuzi magumu yatatokea yaani nyani aone mwanaume atarudi nyuma. Tangu Nyerere mpaka JK Rwanda hajapoa...
Rwanda anawaona Wabantu ndio kitisho cha kesho ya Tutsi na Tz ndio mlezi... SA ndio walewale na alie namba mbili ni uzao wa SA japo kazaliwa Tz ila history inasema wangoni ni wa SA unaweza kuona why Kagame hawez lala.
Pili Kagame ndio chairman EAC je unategemea nini kwa mfano?
Mziki ulianza Mozambique π²πΏ na sasa Congo DRC π¨π© wanaucheza yes the dark days in Tanzania overseas intelligence....
Upo utani unasema nyani akimuona mwanamke basi kazi anayo ila akimuona mtoto wakiume hata kama ni mdogo basi nyani humkimbia yes twende na mimi....
Tanzania kwa miaka yote ni baba wa siasa za Africa π π β₯οΈ shime Mwalimu Nyerere tunakukumbuka Baba. Tanzania tumejaliwa na Taifa letu ninyumbani kwa wapigania uhuru wa Africa. Kete hii imetufanya kuwa na nguvu hata yakuweka watawala ktk nchi za Africa na huu uwezo umetuvimbisha bichwa haswaaa ila kwa wale mnasoma thread zangu mtakubaliana na mimi nimekuwa nikilia na idara zetu na kwenendo wa siasa zetu nakuona tunako enda basi kazi itakuwa ngumu.
Nakumbuka kuzitaadharisha idara za Taifa yakuwa mchwa ako kwa nyumba na paa likianguka amesha tafuna nyumba.
M23 wapo vitani na hii vita sio rahisi itakuwa ngumu kwa sababu ya conspiracy. Kagame kwa vyovyote huu ndio muda wake kumalizana na Tz wala sio nini wala nini hayati mch Mtikila aliwahi tuambia wakamalizana naye mapema kwa sasa sio siri Rwanda wanatujuwa vema Tz hata tujificheje wanajuwa siri zetu na huu ndio muda wakumalizana na sisi. Kuanguka kwa serikali ya Congo DRC nikishindo cha maumivu kwa serikali ya Tz. Natusibishane hili laweza tokea labda kama maamuzi magumu yatatokea yaani nyani aone mwanaume atarudi nyuma. Tangu Nyerere mpaka JK Rwanda hajapoa...
Rwanda anawaona Wabantu ndio kitisho cha kesho ya Tutsi na Tz ndio mlezi... SA ndio walewale na alie namba mbili ni uzao wa SA japo kazaliwa Tz ila history inasema wangoni ni wa SA unaweza kuona why Kagame hawez lala.
Pili Kagame ndio chairman EAC je unategemea nini kwa mfano?