TEC iwachukulie hatua WASAFI MEDIA MARA MOJA Kwa kupotosha kimakusudi Maneno alosema Kardinali Rugambwa huku wakitumia Picha ya RAIS WA TEC!!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
26,419
80,697
Ndugu zangu katika Kristo YESU.

Zama zimebadilika, Kwa Sasa ni zama za Kuwawajibisha wote wanaojaribu kupandikizia watu Maneno.


Ninawaomba TEC kama mtasoma Uzi Huu, kabla ya WASAFI HAWAJAFUTA HABARI HII.

Muwachukulie Hatua Mara Moja, WASAFI KWA MAKUSUDI NA KWA KUJUA , Wametumia Maneno ya Kardinali Rugambwa, na kujitengenezea habari Yao wenyewe ikimaanisha, KARDINALI RUGAMBWA, Amemuonya na kumkemea Askofu Walfgang Rais wa TEC Kwa kile alichokisema Kama Msimamo wa TEC.


WADAFI Media wamefanya hivo, wakijua ni makosa, lakini kwao waliona kitendo Cha Kutuma maneno ya Kardinali Rugambwa Kiongozi wa Katoliki Tanzania kuyageuza kua habari dhidi ya RAIS WA TEC, kutatia mpasuko Ndani ya KANISA LA RC.

unaweza sema LENGO LA WASAFI MEDIA ni kuleta machafuko, mpasukondani ya KANISA LA RC , kwamba ionekane Maneno ya RAIS WA TEC, Si Maneno ya TEC, hii yote ni kuwafanya Waumini wa RC na Wapenda Hali wachanganyikiwe .

Screenshot_20250422_161319~2.jpg


Hivo ni RAI yangu, KWAKUA WASAFI MEDIA wamefanya kosa kubwa dhidi ya KANISA , KANISA LIWACHUKULIE HATUA MARA MOJA.

Ushahidi Huu hapa Ndugu zangu..

Someni Kichwa Cha Habari ,na Maneno ya Kardinali Rugambwa, huku wakutumia Picha ya RAIS WA TEC.


View: https://youtu.be/h7jZ20YwUS8?si=pyaRtSctM16nsbKp
 
Ndugu zangu katika Kristo YESU.

Zama zimebadilika, Kwa Sasa ni zama za Kuwawajibisha wote wanaojaribu kupandikizia watu Maneno.


Ninawaomba TEC kama mtasoma Uzi Huu, kabla ya WASAFI HAWAJAFUTA HABARI HII.

Muwachukulie Hatua Mara Moja, WASAFI KWA MAKUSUDI NA KWA KUJUA , Wametumia Maneno ya Kardinali Rugambwa, na kujitengenezea habari Yao wenyewe ikimaanisha, KARDINALI RUGAMBWA, Amemuonya na kumkemea Askofu Walfgang Rais wa TEC Kwa kile alichokisema Kama Msimamo wa TEC.


WADAFI Media wamefanya hivo, wakijua ni makosa, lakini kwao waliona kitendo Cha Kutuma maneno ya Kardinali Rugambwa Kiongozi wa Katoliki Tanzania kuyageuza kua habari dhidi ya RAIS WA TEC, kutatia mpasuko Ndani ya KANISA LA RC.

unaweza sema LENGO LA WASAFI MEDIA ni kuleta machafuko, mpasukondani ya KANISA LA RC , kwamba ionekane Maneno ya RAIS WA TEC, Si Maneno ya TEC, hii yote ni kuwafanya Waumini wa RC na Wapenda Hali wachanganyikiwe .

View attachment 3312182

Hivo ni RAI yangu, KWAKUA WASAFI MEDIA wamefanya kosa kubwa dhidi ya KANISA , KANISA LIWACHUKULIE HATUA MARA MOJA.

Ushahidi Huu hapa Ndugu zangu..

Someni Kichwa Cha Habari ,na Maneno ya Kardinali Rugambwa, huku wakutumia Picha ya RAIS WA TEC.


View: https://youtu.be/h7jZ20YwUS8?si=pyaRtSctM16nsbKp

Hawatujui wakatoliki tulivyo imara na ukatoliki wetu. Tumesemwa vibaya na kusingiziwa mengi kwa zaidi ya miaka 2000 lakini bado tuko imara na tunaongezeka
 
KARDINALI RUGAMBWA AMKEA VIKALI ASKOFU ALIYETOA TAMKO KINYUME NA MSIMAMO WA KANISA.

Hapo kwenye bold pamokosewa kimkakati.
Mwanzisha mada ungesoma between the lines usingeanzisha hii threads .
Hao wasafi wanajua wanafanya upotoshaji ndio maana wamekosea hilo neno.

Sasa wakipelekwa mahakamani hilo neno "AMKEA" litapewa maana gani?

Saa nyingine msipende kukurupuka kupost vitu vya hovyo .
Vitu vingine ukukutana navyo unatakiwa ukielewe na kisha uachane nacho
 
KARDIMAL RUGAMBWA AMKEA VIKALI ASKOFU ALIYETOA TAMKO KINYUME NA MSIMAMO WA KANISA.

Hapo kwenye bold pamokosewa kimkakati.
Mwanzisha mada ungesoma between the lines usingeanzisha hii threads .
Hao wasafi wanajua wanafanya upotoshaji ndio maana wamekosea hilo neno.

Sasa wakipelekwa mahakamani hilo neno "AMKEA" litapewa maana gani?

Saa nyingine msipende kukurupuka kupost vitu vya hovyo .
Vitu vingine ukukutana navyo unatakiwa ukielewe na kisha uachane nacho
Mkuu mbona ni akili ya chekechea tu kujua ili halijakosewa kimakakati, Mwandishi wa habari hiyo, neo Hilo Amkea, amelikosea Kwa bahati mbaya alilenga kusema amkemea .


Sasa achana na akili za kiccm, TEC imejaaa wanasheria, tutaona, neno AMKEA ni neno linalomaanisha nn, Hadi kutumia na kufuatiwa na maneno ya "Vikali sana ,asikofu aliyetoa Tamko kinyume....
 
SI MMELIANZISHA NYIE TEC YENU,
MPO KWENYE MAPAMBANO MLIOANZISHA, TULIENI.
UKITAKA KUWA MWANASIASA VUA JOHO, UKITAKA KUWA SHABIKI MPIRA USILETE MAMLAKA.
WANAVUNA WALICHOPANDA, WASICHAFULIWE WAO NI NANI.
 
Back
Top Bottom