We nae hebu punguza porojo
Ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili mkuu.Ni ukweli usiopingika kuwa bado tunahitaji sana misaada ya wahisani na hata kama ukusanywaji wa kodi na kubana matumizi umejaribu kusimamiwa na serikali iliyoko madarakan...Lakini ni mapema mno kusitishiwa msaada wananchi wa kawaida tutaona ugumu wa hayo mambo mapema mno...
Usisahau kupitia misaada hiyo Tanzania yote sasa imeunganika kwa barabara zenye lami, Kupitia misaada hiyo hiyo wahathirika wameweza kupata ARV's kwa bei chee mno ili hali nchi za majirani zetu ARV's ni anasa...Bado tulikuwa hatujafika mahali pakuweza kujiendesha na machungu haya siku si nyingi tutaanza ya feel..Ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili mkuu.
Mimi napinga sana misaada kwasababu naamini siku zote hakuna kitu cha bure.
Bila shakaHaha naomba nikuquote...
mama porojo got youBila shaka
Hivi wee unajua ni watz wa ngapi wanaishi kwa kutegemea vidonge vya arvs,basi kama watasitisha kuleta vidonge hivyo....kutatokea balaaa kubwaaaa....wewe ndio hutaki kufikiria tusipopewa arv watu ndio watajua madhara ya ukimwi watapunguza ng'ono zembe
hivi mpaka net unataka usaidiwe jifunze cuba pamoja na vikwazo waliwezaje kutokomeza malaria