Huyo ni mtoto wa ngapi kulea mkuu, tuanzie hapo kwanza.
Kwa umri huo wa mtoto anaruhusiwa kula maziwa ya mama yake tu, asipewe chochote hata maji ya kunywa, maziwa tu anyonye mara kwa mara.
Kama una mlisha chakula kingine basi achana nacho, tumbo lake halina uwezo wa ku digest hadi afikishe above 6 months