Daddo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,435
- 1,024
Nina mtoto mdogo Mwenye umri wa miezi mitatu.
Tatizo la huyu mtoto ni kujisaidia kinyesi ambacho kama ameharisha. Wakati mwingine kina kuwa Kama kina majimaji tu au Kama vikambakamba.
Nimeshamtafutia dawa kadhaa ikiwa ni pamoja na kufatilia unyonyshaji wa maziwa ya mama.
Uzito wake umeanza kuwa stagnat kwani alilozaliwa alikuwa na 3.1kg baada ya mwezi na wiki mbili akawa na 5.3kg na mwezi wa pili na wiki mbili akafikisha 6.1kg ila mwezi wa tatu ambao tatizo kulikuwa limesha Anza amefikisha 6.4kg.
kwa sababu tatizo hili limedumu kwa muda Sasa huku tukiendelea kujaribu njia mbalimbali bila mafanikio naomba nililete kwenu ili kwa Mwenye kujua suluhisho au ushauri wa wapi pa kupata msaada anielekeze.
Samahani kwa usumbufu na natanguliza shukrani kwa wewe utakayeguswa.
Tatizo la huyu mtoto ni kujisaidia kinyesi ambacho kama ameharisha. Wakati mwingine kina kuwa Kama kina majimaji tu au Kama vikambakamba.
Nimeshamtafutia dawa kadhaa ikiwa ni pamoja na kufatilia unyonyshaji wa maziwa ya mama.
Uzito wake umeanza kuwa stagnat kwani alilozaliwa alikuwa na 3.1kg baada ya mwezi na wiki mbili akawa na 5.3kg na mwezi wa pili na wiki mbili akafikisha 6.1kg ila mwezi wa tatu ambao tatizo kulikuwa limesha Anza amefikisha 6.4kg.
kwa sababu tatizo hili limedumu kwa muda Sasa huku tukiendelea kujaribu njia mbalimbali bila mafanikio naomba nililete kwenu ili kwa Mwenye kujua suluhisho au ushauri wa wapi pa kupata msaada anielekeze.
Samahani kwa usumbufu na natanguliza shukrani kwa wewe utakayeguswa.