Pole sana kwa shida hii ,Mungu aingilie kati upate suluhisee ho,nakushauri uende hospitali,umweleze daktari aweze kukupima na kujua hasahasa tatizo ni nini,vyakula gani na nguo aina gani kwa uhakika ili aweze kukupa tiba sahihi,ni vizuri umegundua mambo mengi ila ni muhimu kuthibitisha kwa vipimo...ubarikiweNimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kutokwa na vipele sehemu ya kifuani mpaka shingoni hasa kipind cha mvua zinapochachamaa, nikila vyakula vya baharin pezwa au samaki wadodo wale, ama nikipitiwa na hewa ya mtu ambayo siyo safi inayotokea puani kwake au mdomon kwake basi napatwa hali kama ya pumu ule iwezo wangu wa kupumua unapungua napata shida kupumua, ivyo vipele uwa haviwashi ila kuna baadhi ya nguo nikivaa vinawasha .
Sasa ndugu zangu ivi vipele kuna mda nikitumia dawa vinaisha ila havijawai kuondoka moja kwa moja je kuna mtu ambaye alisha wai kupatwa na tatizo kama ili anisaidie nipate ufumbuzi ni dawa zip alitumia ama n hospital ipi naweza kupata tiba madhubuti maana kama kiacha kutumia ivyo vyakula nimejitaid sana
Asante,kuna wakati nilipata tatizo hilo nikapewa cetrizine je nazo ni sahihi ilikua dawa ngeni kwangu.Mwili unapokutana na vitu ambavyo vinakuletea madhara unatoa chemicals ambazo zinaitwa histamines, hizi ni sehemu ya awali ya kinga ya mwili, kama tatizo linakusumbua kunywa piriton ambazo ni anti histamines wakati unafuatilia hilo tatizo hospitali. Piriton inatoa suluhisho la muda lakini zinasaidia.
na zenyewe ni anti-histamines.Izo cetrizine we n mtu watatu nakusikia ila sijawai kuzitumia kwamm kusema ukweli
Sasa pirton na ngozi kuna uwiano gan apo? Ebu nifafanulie vizurMwili unapokutana na vitu ambavyo vinakuletea madhara (pathogens) unatoa chemicals ambazo zinaitwa histamines, hizi ni sehemu ya awali ya kinga ya mwili, hawa chemicals hizi husababisha mwili kuvimba au kutoa vipele zikiwa zinafanya kazi yake, kama tatizo linakusumbua kunywa piriton ambazo ni anti histamines wakati unafuatilia hilo tatizo hospitali. Piriton inatoa suluhisho la muda lakini zinasaidia.
Asantena zenyewe ni anti-histamines.
Asante,kuna wakati nilipata tatizo hilo nikapewa cetrizine je nazo ni sahihi ilikua dawa ngeni kwangu.
Izo cetrizine we n mtu watatu nakusikia ila sijawai kuzitumia kwamm kusema ukweli
Sawa mkuu ntajalibu namm nione kama zinafanya kazi ipasavyoTumia hizo CETRIZINE ni dawa nzuri. Always huwa nnazitumia kwa allergy. Ukinywa siku moja ya pili tatizo linaanza kupotea.
Ni dawa nzuri tu ya mzio (allergy)Asante,kuna wakati nilipata tatizo hilo nikapewa cetrizine je nazo ni sahihi ilikua dawa ngeni kwangu.