Tathmini fupi mchezo wa Yanga dhidi ya Namungo

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
8,573
19,877
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana

Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.

Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea

Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza majukumu yake Kwa usahihi.

Azizi ki anahitaji mechi zisizo na pressure ili kurudisha confidence yake, ila Bado yuko poa

Kennedy Musonda amecheza vizuri hapa anadai mkataba mpya, Coach amwamini Musonda ili kumpunguzia Dube pressure ya kuwa striker namba 1

Kibabage amegoma kubadilika, amecheza vibaya sana,
Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,
Eng Hersi dirisha dogo ingia sokoni tuletee beki mzawa wa kushoto

Chama fundi huyu sisemi sana, hapaswi kukaa bench anataka mkataba zaidi ya kubakia Yanga

Max, Muda, Dube, Mwamnyeto, Komen, Yao kiwango kizuri mmeonyesha kama kawaida na ndo yalikuwa matarajio yangu

Timu kubwa imechezwa kikubwa, magoli hayana mbambamba kama wale wengine wanaoshiriki mashindano ya akina mama

Yanga bingwa 🏆
 
Kati ya hawa wachezaji yupi kashinda ubingwa mara 3? Khomeiny, Yao, Abuya, Pacome, Chama, Max, Dube, Mkude....
Huu msumari wa utosi.

Akikujibu nitagi.

Umemshika pabaya huyo chura sijui kama atarudi kwa mvua hizi zinazonyesha anaweza kupotelea kwenye mitaro ya maji machafu tandale.
 
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana

Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.

Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea

Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza majukumu yake Kwa usahihi.

Azizi ki anahitaji mechi zisizo na pressure ili kurudisha confidence yake, ila Bado yuko poa

Kennedy Musonda amecheza vizuri hapa anadai mkataba mpya, Coach amwamini Musonda ili kumpunguzia Dube pressure ya kuwa striker namba 1

Kibabage amegoma kubadilika, amecheza vibaya sana,
Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,
Eng Hersi dirisha dogo ingia sokoni tuletee beki mzawa wa kushoto

Chama fundi huyu sisemi sana, hapaswi kukaa bench anataka mkataba zaidi ya kubakia Yanga

Max, Muda, Dube, Mwamnyeto, Komen, Yao kiwango kizuri mmeonyesha kama kawaida na ndo yalikuwa matarajio yangu

Timu kubwa imechezwa kikubwa, magoli hayana mbambamba kama wale wengine wanaoshiriki mashindano ya akina mama

Yanga bingwa 🏆
Kibabage mule hakuna kitu, ni kukimbia kimbia tu.
 
Yanga mngekuwa na akili mngeomba haraka kucheza mechi nyingine ya ligi kabla ya kwenda Algeria. Hiyo kama mngeshinda ingewapa momentum nzuri kuelekea mechi ya CAF na pia kurudisha pressure kwa Simba katika ligi. Risk yake ni kuwa mnaweza kupoteza.
 
Mechi ilikuwa nzuri
Wachezaji wa Yanga wameonyesha ukomavu na uvumilivu hadi nafasi za kufunga zikapatikana

Wachezaji wetu hawana fitness nzuri sana.

Nadhani labda uchovu kushinda ubingwa mara 3 siochezo, hii inasabisha mechi kukosa kasi tuliyozoea

Duke Abuya ni Mchezaji mzuri mno, ametimiza majukumu yake Kwa usahihi.

Azizi ki anahitaji mechi zisizo na pressure ili kurudisha confidence yake, ila Bado yuko poa

Kennedy Musonda amecheza vizuri hapa anadai mkataba mpya, Coach amwamini Musonda ili kumpunguzia Dube pressure ya kuwa striker namba 1

Kibabage amegoma kubadilika, amecheza vibaya sana,
Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,
Eng Hersi dirisha dogo ingia sokoni tuletee beki mzawa wa kushoto

Chama fundi huyu sisemi sana, hapaswi kukaa bench anataka mkataba zaidi ya kubakia Yanga

Max, Muda, Dube, Mwamnyeto, Komen, Yao kiwango kizuri mmeonyesha kama kawaida na ndo yalikuwa matarajio yangu

Timu kubwa imechezwa kikubwa, magoli hayana mbambamba kama wale wengine wanaoshiriki mashindano ya akina mama

Yanga bingwa 🏆
Safi sana.
 
Back
Top Bottom