Ha haa haaTumeshika nafasi ya ngapi kwenye UZANDIKI na UDAKU!?
Hahahahahahaha mkuuNimekuja mbio nikidhani tumeshika nafasi ya Pili kwenye kutumia teknologia ya kijasusi kama ile aliyotumia mwana koromije mmoja kusepa na flash yenye kipindi chake bila kuacha nyayo nyuma.
Kama unabisha muulize mkuu @Nape @Nnauye kilimpata Nini alipothubutu kutaka kuifatilia teknolojia aliyotumia ex koromijey .
Mkuu hiyo avatar yako ukiwa "umevaa miwani" waweza toka nduki aisee kumbe ni memba mwenzetu wa hapa hapa JF.watanzania hatupendi nchi yetu yani kama tulizaliwa US alafu tukatupwa Tz, mtu hata akifnikiwa kutoka nje anajifnya anasahau na lugha kabisa!