Tanzania Yashika Mkoa Kuvutia Wanafunzi wa Kigeni Kuja Kusoma Vyuo Vikuu vya Ndani.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
65,115
74,667
Tanzania imeendelea kuburuzwa na Kenya,Uganda na Rwanda katika kuvutia wanafunzi wa Mataifa mengine kuja kusoma kwenye Vyuo Vikuu vyake.

Unadhani sababu kubwa ni ipi ? Je Lugha mfano Kiswaglishi Cha wahadhiri ndio sababu au hakuna wahadhiri na waliopp wamekimbilia siasa?

Elimu ya Bongi inaendelea kuwa mashakani.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEHbAkkuZfL/?igsh=M3hocHJoOXY2ZnF6
 
Tanzania imeendelea kuburuzwa na Kenya,Uganda na Rwanda katika kuvutia wanafunzi wa Mataifa mengine kuja kusoma kwenye Vyuo Vikuu vyake.

Unadhani sababu kubwa ni ipi ? Je Lugha mfano Kiswaglishi Cha wahadhiri ndio sababu au hakuna wahadhiri na waliopp wamekimbilia siasa?

Elimu ya Bongi inaendelea kuwa mashakani.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEHbAkkuZfL/?igsh=M3hocHJoOXY2ZnF6


Lugha ya kiswahili tunayozungumza. Wageni wanakuwa wanapata shida sana mtaani.
 
Back
Top Bottom