Askari Muoga JF-Expert Member Oct 22, 2015 6,113 4,658 Jul 16, 2016 #1 Tanzania ya viwanda vs kilimo kwanza ipi ni sera ambayo ingetutoa kwenye uma sikini haraka
Eddy Love JF-Expert Member Jul 25, 2011 13,654 8,561 Jul 16, 2016 #2 KILIMO KWANZA NDO ILITAKIWA IWE SERA KUU YA JPM
E Essau mella Member Jul 3, 2016 5 0 Jul 16, 2016 #3 Kabisa maana anataka kumwinua aliye na maisha ya chini kabsa
J JAH CITY Member May 24, 2016 40 71 Jul 16, 2016 #4 Kilimo kwanza. 1. Hakuna ukuwaji wa msingi wa viwanda bila ya kuwa na kilimo cha uhakika. 2. 75% ya watanzania ni wakulima. Ni unafiki wa hali ya juu kufikiri viwanda wawati walio wengi ni wakulima na wanategemea kilimo kwa maisha yao.
Kilimo kwanza. 1. Hakuna ukuwaji wa msingi wa viwanda bila ya kuwa na kilimo cha uhakika. 2. 75% ya watanzania ni wakulima. Ni unafiki wa hali ya juu kufikiri viwanda wawati walio wengi ni wakulima na wanategemea kilimo kwa maisha yao.