johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,957
- 169,981
Viongozi wote mashuhuri duniani wako Paris Ufaransa kushiriki ufunguzi wa Kanisa Kuu la Maria Mtakatifu mama wa Yesu
Wageni mashuhuri Wakiongozwa na Rais mteule wa Marekani Donald Trump wamehudhuris
Bado nafuatilia kuona kama Africa Mashariki tuna Uwakilishi
Credit: BBC
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 🌹
Mlale unono
Wageni mashuhuri Wakiongozwa na Rais mteule wa Marekani Donald Trump wamehudhuris
Bado nafuatilia kuona kama Africa Mashariki tuna Uwakilishi
Credit: BBC
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 🌹
Mlale unono