Tanzania ni nini kinatusumbua au Rushwa umekomaza katika misuli ya nchi?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,847
9,212
Nilikuwa naangalia gharama za Ujenzi wa viwanja vya michuano ya kimataifa itakayofanxika 2027 ya AfCON gharama zetu zimekuwa kubwa sana Mfano Uwanja wa Tlanta jijini Nairobi unajengwa Kwa TZS Billion 44, capacity 60,000. Uwanja wa Arusha capacity 30,000 unajengwa TZS Billion 300. Hapo unapata picha gani??
 

Attachments

  • 2ebcb89d-808e-4191-b972-ea8da9a81777.jpeg
    2ebcb89d-808e-4191-b972-ea8da9a81777.jpeg
    103.3 KB · Views: 1
Nilikuwa naangalia gharama za Ujenzi wa viwanja vya michuano ya kimataifa itakayofanxika 2027 ya AfCON gharama zetu zimekuwa kubwa sana Mfano Uwanja wa Tlanta jijini Nairobi unajengwa Kwa TZS Billion 44, capacity 60,000. Uwanja wa Arusha capacity 30,000 unajengwa TZS Billion 300. Hapo unapata picha gani??
Ubora wa ni tofauti. Uwanja wa Arusha una mambo mengi. Pia hizo 44b ni Ksh ambazo ni sawa na zaidi ya Tsh 900b. Acha upotoshaji kilaza mkubwa wewe.
Soma hii link MSN
 
Nilikuwa naangalia gharama za Ujenzi wa viwanja vya michuano ya kimataifa itakayofanxika 2027 ya AfCON gharama zetu zimekuwa kubwa sana Mfano Uwanja wa Tlanta jijini Nairobi unajengwa Kwa TZS Billion 44, capacity 60,000. Uwanja wa Arusha capacity 30,000 unajengwa TZS Billion 300. Hapo unapata picha gani??
Mafisi, kumbe kwa kiasi hicho bila kuwa na mafisi ya kitanzania vingejengwa viwanja 6 vya ujazo wa kuruhusu watu 60,000
 
Nilikuwa naangalia gharama za Ujenzi wa viwanja vya michuano ya kimataifa itakayofanxika 2027 ya AfCON gharama zetu zimekuwa kubwa sana Mfano Uwanja wa Tlanta jijini Nairobi unajengwa Kwa TZS Billion 44, capacity 60,000. Uwanja wa Arusha capacity 30,000 unajengwa TZS Billion 300. Hapo unapata picha gani??
Ktk hili labda tumuite mwasibu OKW BOBAN SUNZU , yeye ni bingwa ktk hesabu za fedha
Cc adriz
 
Nilikuwa naangalia gharama za Ujenzi wa viwanja vya michuano ya kimataifa itakayofanxika 2027 ya AfCON gharama zetu zimekuwa kubwa sana Mfano Uwanja wa Tlanta jijini Nairobi unajengwa Kwa TZS Billion 44, capacity 60,000. Uwanja wa Arusha capacity 30,000 unajengwa TZS Billion 300. Hapo unapata picha gani??
Watawala wamefanikiwa ku normalize rushwa kwa kuipa majina mepesi
 
Tshs 44 billions haziwezi kujenga uwanja wa kuchukua mashabiki 60000 labda kama unaongelea Kshs. Ingawa hata iyo bajeti ya kujenga hivyo viwanja vya Arusha na kwingine kibongo bongo lazima wajanja watakua wamepiga cha juu
 
Back
Top Bottom