Tanzania ni nchi pekee inayoongoza kwa 'teua tengua' kwakuwa viongozi wanaogopa kuwajibishana

MAKANGEMBUZI

JF-Expert Member
Dec 21, 2020
2,652
7,567
Aisee hivi ni kweli tanzania wasomi na watu wenye akili zao wameisha mpaka kila siku hizi teuzi za mchongo za raisi ni za watu wale wale wa kuhamishwa sehemu za kuramba asali.Mtu anaharibu huku unampeleka kule for what???

Mtu anatenguliwa huku then anateuliwa huku badae tena anaibukia huku hii maana yake rais hafai anaonea watu haya(aibu) kuwapiga chini ambao hawafiti kwenye mfumo wake.

Sio nafasi za uwaziri,ukurugenzi,ukuu wa mkoa,ukuu wa wilaya,mchezo umekuwa ni hama hama tu nenda kule rudi huku.

Serikali ya kuoneana aibu ambayo sio ya kuwajibishana mtu akileta mapuuza ofisi za umma haifai.

Watu wanaleta ushikaji na umama kwenye mali za umma no wonder vijana siku hzi wamekuwa machawa na wengine wanafosi juu chini wajulikane mitandaoni ili waonekane.

Hii nchi kama hakutakuwa na utawala bora na uwajibikaji tusahau maendeleo.
 
Aisee hivi ni kweli tanzania wasomi na watu wenye akili zao wameisha mpaka kila siku hizi teuzi za mchongo za raisi ni za watu wale wale wa kuhamishwa sehemu za kuramba asali.Mtu anaharibu huku unampeleka kule for what???

Mtu anatenguliwa huku then anateuliwa huku badae tena anaibukia huku hii maana yake rais hafai anaonea watu haya(aibu) kuwapiga chini ambao hawafiti kwenye mfumo wake.

Sio nafasi za uwaziri,ukurugenzi,ukuu wa mkoa,ukuu wa wilaya,mchezo umekuwa ni hama hama tu nenda kule rudi huku.

Serikali ya kuoneana aibu ambayo sio ya kuwajibishana mtu akileta mapuuza ofisi za umma haifai.

Watu wanaleta ushikaji na umama kwenye mali za umma no wonder vijana siku hzi wamekuwa machawa na wengine wanafosi juu chini wajulikane mitandaoni ili waonekane.

Hii nchi kama hakutakuwa na utawala bora na uwajibikaji tusahau maendeleo.
Nchi hii tunahitaji maombi makubwa sana nafikiri tunaongozwa na kikundi cha wachawi wenye maagano flani hivi. Tuombe Mungu sana.
 
Aisee hivi ni kweli tanzania wasomi na watu wenye akili zao wameisha mpaka kila siku hizi teuzi za mchongo za raisi ni za watu wale wale wa kuhamishwa sehemu za kuramba asali.Mtu anaharibu huku unampeleka kule for what???

Mtu anatenguliwa huku then anateuliwa huku badae tena anaibukia huku hii maana yake rais hafai anaonea watu haya(aibu) kuwapiga chini ambao hawafiti kwenye mfumo wake.

Sio nafasi za uwaziri,ukurugenzi,ukuu wa mkoa,ukuu wa wilaya,mchezo umekuwa ni hama hama tu nenda kule rudi huku.

Serikali ya kuoneana aibu ambayo sio ya kuwajibishana mtu akileta mapuuza ofisi za umma haifai.

Watu wanaleta ushikaji na umama kwenye mali za umma no wonder vijana siku hzi wamekuwa machawa na wengine wanafosi juu chini wajulikane mitandaoni ili waonekane.

Hii nchi kama hakutakuwa na utawala bora na uwajibikaji tusahau maendeleo.
Tanzania itapitwa na Nchi karibu zote za Africa mashariki kwa kupiga hatua za kiuchumi na miundombinu!! Shika hili utakuja nambia!! Kwa mfumo uliopo maendeleo ni ngumu sana
 
Nchi hii tunahitaji maombi makubwa sana nafikiri tunaongozwa na kikundi cha wachawi wenye maagano flani hivi. Tuombe Mungu sana.
Mbona magu mtu akizingua alikuwa anampiga chini kabisa kwanini sahv iwe hamisha hamisha ?
 
Tanzania itapitwa na Nchi karibu zote za Africa mashariki kwa kupiga hatua za kiuchumi na miundombinu!! Shika hili utakuja nambia!! Kwa mfumo uliopo maendeleo ni ngumu sana
Hii nchi haiwezi kuendelea maana picha linaanza watanzania wengi wa kufanya maamuzi hatujielewi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom