Tanzania ndio nchi inaongoza kwa kuwa na wengi Simba Duniani, Kwanini waliweka mnyama mpole kwa Twiga kuwa Nembo

run CMD

JF-Expert Member
May 31, 2015
3,219
3,985
images (5).jpeg
 
Kwa sababu sisi ni wapole sana, hata rasilimali zetu zikigawiwa kwa wageni wa nje hatufanyi vurugu, wanaotutetea wakizushiwa kesi, tukilimwakodi hadi tukauke, tukiishi kwa kubambikiwa kesi nk, tunaendelea na mdogo mdogo kama twiga!
 
Back
Top Bottom