Tangazo Kuitwa Usaili Jeshi La Polisi 2025

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
30,681
34,080
Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE - RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.Ili kusoma majina ya walioitwa kwenye Usaili tumia kiunganishi hiki Jeshi la Polisi Tanzania

snapins-ai_3616659902822933433.jpg
 
Mnaajiriwa mkasaidie uchaguzi sasa..!!
Hii nchi bwana ina vituko sana, hapo wanapunguzwa wapiga kura wanaongezwa wabeba mabox ya kura na wapiga mabomu ya machozi..!! Pitty 😥
 
Back
Top Bottom