Ni heri kuishi utumwani kuliko uhuru bandiaWatoto wa watumwa wakiandika utawajuwa tu bado wanakumbuka Misri
Hatutishiki tunaposema ukweliDah, jamani haya mambo yatampelemka mtu TCRA, me simo, Shauri yenu!
Kama ni hivo Tanzania ni nini?Tanganyika ni jina lilitungwa na wakoloni. Tanga za kupokea upepo na kuendesha mashua za baharini. Nyika ikiwa bara. Wakaunganisha wakapata tanganyika. Hakukuwepo na tanganyika kulikuwa na wazaramo wachaga wagosi wahehe sukuma pare wagogo etc. Tanganyika bora Nyerere alilifukia mbali na sitaki lirudi. Japo nasikia kulikuwa na Azania sasa hapo ndio nachanganyikiwa, Azania sijui ilikuwa ni kabla ya wazungu na ilikuwa inajimuisha maeneo gani, mtu anaejua aelezee.
Tanzania itabaki milele, to hell with tanganyika, hata masherehe ya uhuru tuachane nayo.
Shida ya watanzania ni woga na kwa mjibu wa Lema woga ni dhambi kubwa kuliko zote. Watanzania tumejua mambo mangapi ambayo kama si Lissu kuondoa woga tusingeyajua kuhusu ZanzibarDah, jamani haya mambo yatampelemka mtu TCRA, me simo, Shauri yenu!
Kunguru muoga huishi miaka mingi.Shida ya watanzania ni woga na kwa mjibu wa Lema woga ni dhambi kubwa kuliko zote. Watanzania tumejua mambo mangapi ambayo kama si Lissu kuondoa woga tusingeyajua kuhusu Zanzibar
"Orodha ya watakao uawa""Nasijikia kuua tena"
Nikiwataja wataongezewa ulinzi au wataikimbia nchi."Orodha ya watakao uawa"
Lakini hufa piaKunguru muoga huishi miaka mingi.
Pokea "salamu kutoka kuzimu"Nikiwataja wataongezewa ulinzi au wataikimbia nchi.
"Lazima Ufe Joram"Pokea "salamu kutoka kuzimu"
Tutarudi na roho zetu"Lazima Ufe Joram"
"Aliyeonja Pepo" tena "Pepo ya Mabwege"Tutarudi na roho zetu
Huu ndiyo ukweli usiopingika, Karume angezijua hila za mwalimu akamwepuka miaka ile ya 1964 leo hii katika Afrika Zanzibar isingekuwa inakamatika kimaendeleo.Mwl Nyerere alikuwa mjanja sana. Yeye hakujali kuuza jina la nchi ya Tanganyika maana kuna nchi kama Rhodesia ilibadili jina na kuwa Zimbabwe na Zaire ikawa Congo DRC. Hivo yeye alimdanganya Karume akauza nchi!
Zanzibar ni nchi ya kwanza kupokea dini ya kikristo kabla ya nchi zote za Afrika Mashariki na nchi ya kwanza kupokea dini ya kiislam kabla ya nchi zote Afrika ukiondoa zile ambazo raia wake ni waarabu. Ni nchi ya kihistoria na nisingeshangaa kama ingekuwa Dubai ya Afrika kama si kuiuza kwa Tanganyika.
Leo Tanganyika kwa kushirikiana na wazanzibari wachache hawaiachi ipumue wanahakikisha anayeongoza Zanzibar ni yule anayekubalika Dar es Salaam. Aliyefunga ndoa na Ccm, hivi Ccm ni chama cha wazanzibari (itakuwa mada ya siku nyingine).