Kuhidhi dna za raia (na hasa wahalifu) ni vitengo ktk jeshi la polisi ktk nchi za wenzetu wa majuu. Husaidia kukamata wahalifu wa aina hii kwani manii walio acha hupimwa na kulinganishwa na dna walizonazo kwenye databank yao. Hapa kwetu akishazikwa ndio kazi imekwisha. Very sad.
Kuhifadhi dna za raia (na hasa wahalifu) ni vitengo ktk jeshi la polisi ktk nchi za wenzetu wa majuu. Husaidia kukamata wahalifu wa aina hii kwani manii walio acha hupimwa na kulinganishwa na dna walizonazo kwenye databank yao. Hapa kwetu akishazikwa ndio kazi imekwisha. Very sad.
Inaumiza sana kutoa uhai wa mtoto kwa kumfanyia unyama kiasi hiki, Allah amsamehe madhambi yake ampumzishe mahali pema, maana kwa tendo alilofanyiwa ni zaidi ya adhabu